Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
- Thread starter
- #21
kuna kituko kilitokea siku moja kipindi cha kampeni, kuna kichaa alifika kwenye jengo la CCM mkoa Arusha karibu kabisa na mlango wakuingilia alimkuta mama anauza ma-shirt, kofia, t-shirt na nk zenye rangi ya kijani na manjano alichokifanya kichaa alisukuma meza ya mama huyo ambayo ndipo alipokuwa ameweka bidhaa hizo na kuanza kumuonyehsa vidole viwili(V), watu walijaa sana kumshangaa kicha huyo kwa kitendo kile. huku wengine wakionyesha kuto amini kama ni kichaa kweliWataangahika sana mwaka huu hadi vichaa watawauliza