Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Mkurugezi wa wilaya ya Arusha mjini ameingia mchecheto wa kilicho jitokeza Arusha tarehe 5-1-2011, baada ya kuamuru wenyekiti wote wa vitongoji kufanya mikutano na wakazi wa vitongoji vyao ili kujua mapendekezo yao.
Na mambo muhimu yaliyokuwa yakitakiwa kutolewa majibu, ni nini kifanyike ili kuleta utulivu Arusha mjini.
Katika kikao kilicho fanyika kwenye kata ya Sombetini kitongoji cha simanjiro, kulitokea kutokuelewana baada ya wakazi waliojitokeza kwenye mkutano huo ulioitishwa juzi jioni na kufanyika jana, kutaka kujua:
- uhalali wa mwenyekiti kutumwa na mtu wanayemtuhumu kuwa yeye ndiyo chanzo cha maafa ya Arusha, kuja kuwa hoji nakumpelekea watakao zungumza yeye mwenyewe tena na kwanini hakukuwa na mwakilishi wa vyama husika.
- pia walitaka kujua kwanza kwanini mkutano huo ulifanyika vichochoroni tofauti na ilivyo zoeleka
- watakuwa na uhakika gani walicho kiongea ndisho kitakacho pelekwa sehemu husika.
Mwenye kiti huyo aliwatuliza na kuwa ahidi watakayo yasema ndiyo yatapelekwa na yataenda kugongwa mhuri na nakala kurudishwa kwa mabalozi.
Ndipo kikao kikanza: karibu kila aliyechangia alitoa mapendekezo kuwa uchanguzi ufanyike upya na wafuatao waondolewe Arusha
Mkurugezi,
RPC
OCD.
Ndipo arusha itakalika kwa amani.
Naomba kuwakilisha
Na mambo muhimu yaliyokuwa yakitakiwa kutolewa majibu, ni nini kifanyike ili kuleta utulivu Arusha mjini.
Katika kikao kilicho fanyika kwenye kata ya Sombetini kitongoji cha simanjiro, kulitokea kutokuelewana baada ya wakazi waliojitokeza kwenye mkutano huo ulioitishwa juzi jioni na kufanyika jana, kutaka kujua:
- uhalali wa mwenyekiti kutumwa na mtu wanayemtuhumu kuwa yeye ndiyo chanzo cha maafa ya Arusha, kuja kuwa hoji nakumpelekea watakao zungumza yeye mwenyewe tena na kwanini hakukuwa na mwakilishi wa vyama husika.
- pia walitaka kujua kwanza kwanini mkutano huo ulifanyika vichochoroni tofauti na ilivyo zoeleka
- watakuwa na uhakika gani walicho kiongea ndisho kitakacho pelekwa sehemu husika.
Mwenye kiti huyo aliwatuliza na kuwa ahidi watakayo yasema ndiyo yatapelekwa na yataenda kugongwa mhuri na nakala kurudishwa kwa mabalozi.
Ndipo kikao kikanza: karibu kila aliyechangia alitoa mapendekezo kuwa uchanguzi ufanyike upya na wafuatao waondolewe Arusha
Mkurugezi,
RPC
OCD.
Ndipo arusha itakalika kwa amani.
Naomba kuwakilisha