Hivi jamaa bado alikuwa Dar? Mimi nilifikiri alishakimbilia USA kwao muda mrefu.
Je aliyefikishwa ni Mohamed Gire mwenyewe au hao wadogo zake. Kama ni yeye mwenyewe nafikiri ni mhusika mkubwa sana ukiondoa hao wanasiasa.
Watu inabidi kujifunza, wanatumiwa na wanasiasa, majanga yakija, wao wanaishia Keko huku wanasiasa wanapeta.
Aliyefikishwa mahakamani ni Naeem Adam Gire na si Mohamed Gire
Uchunguzi bado unaendelea!!!
Huu huwa ni msemo wa kimahakama? Swala hili limeundiwa tume, limekaa zaidi ya mwaka, hivi ni kweli uchunguzi bado kukamilika!
Bila shaka EL, NK na IM watafuata kwa matumizi mabaya ya madaraka.
well.. si mlitaka Richmond wafikishwe mahakamani ndiyo hivyo tena!
Mohamed Gire alikuwa mshika mpini tu. Tunalitaka jembe la Richmond!!!! Gire ndo Mbuzi wa kafara au!!!!???
Du! Haya kweli kuongoza nchi unahitajika kuwa mvumilivu sana... kama kuna vitu ambavyo JK alikuwa under-rated ni issue ya ku-deal na ufisadi na dhuluma... lakini hadi leo aliyofanya yanaonyesha mambo tofauti sana.
Pamoja na hayo... lazima niseme yapo mengi sana ambayo JK na serikali yake could do better kama angeweza kutumia opportunity ya kushinda uchaguzi mkuu by 80% mwaka 2005... ambayo hiyo opportunity will never come twice.
JK aamua kutumia political platform ya 2010. Sioni sehemu yeyote ya kumsifia yeye na serikali yake.haya yote ni mazingaumbwe. Tatizo lilianzia kwenye Tender. Ni jinsi gani hawa mabwana walipewa tenda ya kufunga vifaa vya dharura.