Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,149
Marina njelekela akiri ma dk wa jeshini awana uwezo wa kutibu idadi ya wagonjwa waliopo
wamepanga list ya watu 5 ma dk bingwa wakijiandaa kwenda kwa waziri mkuu katika hilo kundi
kichekesho wameomba watu watatu kutoka uongozi wa ma dk waandamane nao ati ili wakaonane
na ma dk....
Swali
waziri mkuu nahisi ni waziri mkuu mwehu kuliko wote waliopita iweje akubali kuonana na ma dk aaliokwisha wafukuza kazi kisheria.....kama alikiri kufukuza kila dk asiefika kazini hawa anaenda kukutana nao kama nani
kweli kazi tunayo kikwete aliambiwa unatuletea vimeo sehemu muhimu kama hizo haya ndio madhara yake
tusubiri kesho
wamepanga list ya watu 5 ma dk bingwa wakijiandaa kwenda kwa waziri mkuu katika hilo kundi
kichekesho wameomba watu watatu kutoka uongozi wa ma dk waandamane nao ati ili wakaonane
na ma dk....
Swali
waziri mkuu nahisi ni waziri mkuu mwehu kuliko wote waliopita iweje akubali kuonana na ma dk aaliokwisha wafukuza kazi kisheria.....kama alikiri kufukuza kila dk asiefika kazini hawa anaenda kukutana nao kama nani
kweli kazi tunayo kikwete aliambiwa unatuletea vimeo sehemu muhimu kama hizo haya ndio madhara yake
tusubiri kesho