tracy martins
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 3,535
- 1,478
Huyo msma Ipora ni Jembe, nani asiyejua njaa ya madiwani na kuendekeza rushwa.
Wao wakakae vijiweni wamwachie huho mama achape kazi.
tungepata sporah ishirini nchi ingenyooka hii
Huyo msma Ipora ni Jembe, nani asiyejua njaa ya madiwani na kuendekeza rushwa.
Wao wakakae vijiweni wamwachie huho mama achape kazi.
nasema tena wamtoe wasimtoe sisi tushafaham mbunge wenu BADWEL ni mlafi hafai kanisani wala msikitini, yeye kumnyanyasa mumewe hilo sisi halituhusu hayo inawezekana ni makubaliano yao
Na kufukuza watumishi je? Na udikteta? Habari ya Badwel ni nyingine isitumike kumsafisha mtu
Sipora ni Jimbe la Kazi amethhibiti mianya ya rushwa Mkuranga na ufisadi unaofanywa na wafanyakazi wa halmashauri wakishirikiana na madiwini. kabla ya kufika Sipora Mkuranga magari Binafsi ya Baadhi ya madiwani akiwemo mwenyekiti yalikuwa yanawekewa mafuta kwa kutumia hela ya halmashauri. Nafikiri pia hela ya BADWEL inafanya kazi. Badwel atakuwa amehonga hao madiwani kama alivyohonga waandishi wa habari maana hata habari ya kesi yake haiandikwi tena kama kesi zingine. Kuna mtu wa usalama wa Taifa aliniambia Badwel na hela yake yote nani atamfunga?kesi hii itapigwa mpaka uchaguzi mwingine utakuja. Naomba huyo mama watuletee sisi watu wa Halmashauri ya Babati vijijini. Tunamhitaji atamawa liza mchwa kwenye halmashauri yetu. Hawa Ghasia chondchonde MLete Babati vijijini.
anaitwa saada mwaluko,huyu ndio mkurugenzi wa sasa wa mkuranga,ameiharibu mkuranga mpaka basi,mapato yameshuka sana na utendaji wa maafisa umeporomoka sana katika kipindi cha huyu mama,tofauti kabisa na wakati wa mama spora lianawewe keneth huyu mkurugenzi wa sasa ni mjinga ameshusha mapato makubwa sipora liana ndio alikuwa jembe sio huyu kiruka njia,halafu mume wake ni katibu wa tsd hapo mkuranga;majanga matupu.