Mkurugenzi Kama aliagiza kuwepo mkakati wa wanafunzi kupata Chakula shuleni Hana kosa shida Ni maamuzi ya WDC....
Tangu serikali ya Magufuli kuingia madarakani si rahisi kwa WDC kufanya maamuzi ya namna hiyo kwani agenda ya Chakula shuleni ilipaswa iwe maamuzi na hitaji la wazazi wenyewe.
Agenda ilipaswa kupelekwa kwa wazazi wenyewe