BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,118
Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Dkt. Ayoub Rioba amesema Habari za kizushi mara nyingi zinawachota watu wajinga ambapo amefafania kuwa ujinga si tusi lakini watu wajinga maana yake ni watu wasiokuwa na maarifa ya kutosha.
Akizungumza kutoka katika kongamano la kwanza la maendeleo ya sekta ya habari linalofanyika jijini Dar es Salaam Rioba amesema watu wajinga hata wakiambiwa mvuvi amepiga mlango wa ndege, mlango ukafunguka wanaamini.
#KongamanoHabari2022
Akizungumza kutoka katika kongamano la kwanza la maendeleo ya sekta ya habari linalofanyika jijini Dar es Salaam Rioba amesema watu wajinga hata wakiambiwa mvuvi amepiga mlango wa ndege, mlango ukafunguka wanaamini.
#KongamanoHabari2022