johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,939
- 141,914
Kabla haijafika mwisho wa probation 18/02/2022 Halmashauri ya Masasi imewasimamisha kazi wakuu wa idara watano na aliyekuwa DED ambaye sasa amehamishiwa Tarime jina lake limepelekwa kwa mamlaka yake ya uteuzi ili naye achukuliwe hatua.
Uchunguzi umebaini kuna ufisadi mkubwa umefanyika katika halmashauri ya wilaya ya Masasi.
Maendeleo hayana vyama!
Uchunguzi umebaini kuna ufisadi mkubwa umefanyika katika halmashauri ya wilaya ya Masasi.
Maendeleo hayana vyama!