mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Nachukua nafasi hii kumtaka Mkurugenzi wa PSSSF awafikirie Wastaafu juu ya Mafao yao. Wastaafu hao wamekuwa wanafuatilia mafao ya Dodoma bila mafanikio, na kupewa kauli za kuwatoa Ofisini.
Wakati umefika kwa Mkurugenzi Mkuu kuingilia kati suala la Mafao ya Wastaafu hawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati umefika kwa Mkurugenzi Mkuu kuingilia kati suala la Mafao ya Wastaafu hawa.
Sent using Jamii Forums mobile app