Rejea kichwa cha habari hapo juu. Mkurugenzi Mtendaji (mke na sio mwanamke) anahitajika.
KITUO CHA KAZI: MBEYA MJINI
Sifa za muombaji:
1. Awe na nia ya kazi anayoiomba sio kujaribu.
2. Umri miaka 25 hadi 33.
3. Asiwe na mtoto
4. Matured enough
5. Mwenye hofu ya Mungu
6. Aanzie elimu ya kidato cha 4
KARIBU KWA MWENYE SIFA NA UHITAJI
KITUO CHA KAZI: MBEYA MJINI
Sifa za muombaji:
1. Awe na nia ya kazi anayoiomba sio kujaribu.
2. Umri miaka 25 hadi 33.
3. Asiwe na mtoto
4. Matured enough
5. Mwenye hofu ya Mungu
6. Aanzie elimu ya kidato cha 4
KARIBU KWA MWENYE SIFA NA UHITAJI