Mkurugenzi mkuu NSSF Prof. Godius Kahyarara, ni wewe ndiyo umeandika haya au kuna fitna ndani yake?

Hongera sana kupata Fursa hiyo. Mie huwa naamini kwny Presentation ya Hotuba za hadhi ya Kisomi Mzee Mkapa alikuwa bora zaidi kuliko hata Mwl Nyerere Kama utasikiliza facts zao sio legacy zao
Kabisa!! Na anajiamini sana na anapenda mno kusoma na kuelewa kitu kabla ya kuongea.... ni miongoni mwa wanasiasa wasioogopa kwenda kwenye mijadala ya kisomi!!

Ila ule ugonjwa wake wa kilaji bado anao!!
 
Hivi si alikuwa longtime researcher, lecturer na banker akiwa BOT? Ila English tunajitutumua nayo TUU not an issue.
 
Wengi hamjamwelewa mleta mada, amejaribu kuwaonyesha sehemu ambazo CEO kaonyesha kusifia ufanisi wa mfuko katika kipindi hicho cha 11-15.
Nadhani nia ya Ritz ni kuquestion habari zinazovuma kuhusu wizi uliofanyika kwenye mradi wa Kigamboni.
Unataka divert attention? Umeielewa tone ya hilo chapisho na anachotaka maanisha mleta mada? Mfano His Excellent.... alitaka maanisha hayo ya 11_15?
 
Watu mnaosema hiyo English ni sub standard hebu rudieni kusoma. Hiyo document ina standard structure ya report. Labda mtoa mada aulizwe alikuwa anamaanisha nini lakini, si English hata kidogo.
 
Makosa ni kama kuandika Eastern Africa badala ya East Africa.

Baada ya neno "Furthermore" ilitakiwa ifuate koma yaani angeandika "Furthermore,..."Kosa hili dogo pia liko pale alipoandika Arusha Dodoma bila kutengani majina ya mikoa hii miwili kwa kuweka koma yaani "Arusha, Dodoma". Makosa ya kawaida haya hata sisi tunafanya.

Hapo alipoandika "like any" ingependeza zaidi kama angeandika "like any other...".Neno "other" limekosekana hapo.

Hapo "in this phase" nadhani mleta mada alitaka pasome "during this phase".

Vile vile hapa alipoandika "on planning..." nadhani mleta mada alitaka pasomeke "in planning..."
Mkuu why unamsaidia? Tulitaka athibitishe mwenyewe kwanza!
 
Makosa ni kama kuandika Eastern Africa badala ya East Africa.

Baada ya neno "Furthermore" ilitakiwa ifuate koma yaani angeandika "Furthermore,..."Kosa hili dogo pia liko pale alipoandika Arusha Dodoma bila kutengani majina ya mikoa hii miwili kwa kuweka koma yaani "Arusha, Dodoma". Makosa ya kawaida haya hata sisi tunafanya.

Hapo alipoandika "like any" ingependeza zaidi kama angeandika "like any other...".Neno "other" limekosekana hapo.

Hapo "in this phase" nadhani mleta mada alitaka pasome "during this phase".

Vile vile hapa alipoandika "on planning..." nadhani mleta mada alitaka pasomeke "in planning..."

Jaribu kugoogle Eastern Africa wa ni ukanda wa mashariki wa afrika - unaanzia Ethiopia na unashuka chini mpaka Madagascar; if he was into this kind of perspective then hakuna kosa hapo.

Mengine kwenye hoja zako; kama utayaita makosa sidhani sana pamoja na kuja na hizo alternatives lakini original report bado ina fit the bill.
 
Mbona kiingereza ukiondoa vitypo vidogo vidogo kiko poa tu, au tatizo nini?

Kahyarara kasoma OXFORD , kwa wenye kiingereza chao!

Kosoa mengine, lakini sijaona ishu kubwa ya kiingerez Hapo
Mi nimeona hiyo his Excellent the president
 
Katika uandishi kila mtu huwa na style yake what matters is the lucidity of the contents.
Mengine ni mbwembwe tuu!
"After all English is not our mama land"!
 
Mbona kuna only one or two spelling mistakes, lakini maneno mengi uliyo uapigia circles are very correct english words and used in the right sentences.
 
Lakuvunda halina ubani....endeleeni kufanya cocktail parties asubuhi asubuhi Southern Sun Hotel
 
Mhhh, kiingereza kinasumbua sana. Ni vyema tutumie lugha yetu adhimu na mwanana tuliojaaliwa na manani- Kiswahili pale inaposhindikana kuliko kujiaibisha kwa kiingereza cha kuchapia. Kama usomi ni kiingereza mbona Shishi baby anaafadhali!
Hahahaa. Utashangaa utakapoona hicho Kiswahili ndio kinaandikwa hovyo kuliko unavyofikiri. Kuna watu wamegoma kabisa kutofautisha matumizi ya r, l, i, h. Kichwa cha habari kingeliandikwa "TAHALIFA".
 
Back
Top Bottom