Sodoku
JF-Expert Member
- Feb 3, 2016
- 1,095
- 2,429
Wa DAU baada ya miezi mingi hili ndo walilopata la kukosoa. Yaani kazi ipo kweli kweli. Tutegemee mengine toka kwa WADAU maana bado wanaumia sana. Bado roho zao hazijatulia.wanakosoa hata anavyotabasam wanasema anatabasam kma ana wasanifu. Anavyotembea wanasema anatembea taratibu sana. Bas ili mradi hawamtak wanataka arud MDAU WAO.