mkereketwakamil
Member
- Aug 27, 2010
- 10
- 0
Tumesikia malalamiko mengi kuhusu mfuko wa taifa wa bima ya afya unavyotumia vibaya pesa za wanyonge lakini watu wanasahau kuwa hata ndani ya ofisi ile kunamalalamiko mengi ya wafanyakazi na manyanyaso mengi ambayo wafanyakazi wanafanyiwa na yule fisadi mkurugenzi mkuu wao. Anaroho mbaya na anaupendeleo wa waziwazi kwa wafanyakazi. Hafai kuwa pale ameongoza shirika lile toka linaanza mpaka imefikia anaongoza watu na kutoa maamuzi kama vile ofisini ni nyumbani kwake.
Amewajengea wafanyakazi nidhamu ya woga hata pale wanaponyimwa haki zao wasiseme, kwasababu wakisema tu anawachukulia hatua hata bila kuwaita na kusikiliza upande wao. Vyombo vya habari tusaidieni kuweka hili wazi ili viongozi wetu wa serikali watusaidie kumng'oa huyu fisadi aliyefichika.
Amewajengea wafanyakazi nidhamu ya woga hata pale wanaponyimwa haki zao wasiseme, kwasababu wakisema tu anawachukulia hatua hata bila kuwaita na kusikiliza upande wao. Vyombo vya habari tusaidieni kuweka hili wazi ili viongozi wetu wa serikali watusaidie kumng'oa huyu fisadi aliyefichika.