Mkurugenzi mkuu mfuko wa taifa wa bima ya afya ni mnyanyasaji na muonevu

Aug 27, 2010
10
0
Tumesikia malalamiko mengi kuhusu mfuko wa taifa wa bima ya afya unavyotumia vibaya pesa za wanyonge lakini watu wanasahau kuwa hata ndani ya ofisi ile kunamalalamiko mengi ya wafanyakazi na manyanyaso mengi ambayo wafanyakazi wanafanyiwa na yule fisadi mkurugenzi mkuu wao. Anaroho mbaya na anaupendeleo wa waziwazi kwa wafanyakazi. Hafai kuwa pale ameongoza shirika lile toka linaanza mpaka imefikia anaongoza watu na kutoa maamuzi kama vile ofisini ni nyumbani kwake.

Amewajengea wafanyakazi nidhamu ya woga hata pale wanaponyimwa haki zao wasiseme, kwasababu wakisema tu anawachukulia hatua hata bila kuwaita na kusikiliza upande wao. Vyombo vya habari tusaidieni kuweka hili wazi ili viongozi wetu wa serikali watusaidie kumng'oa huyu fisadi aliyefichika.
 
Hiyo ni asasi ya ccm lakini hao wafanyakazi washikamane kumtoa huyo fisadi ananufaika kupitia pesa zetu sisi wanyonge.
 
Tumesikia malalamiko mengi kuhusu mfuko wa taifa wa bima ya afya unavyotumia vibaya pesa za wanyonge lakini watu wanasahau kuwa hata ndani ya ofisi ile kunamalalamiko mengi ya wafanyakazi na manyanyaso mengi ambayo wafanyakazi wanafanyiwa na yule fisadi mkurugenzi mkuu wao. Anaroho mbaya na anaupendeleo wa waziwazi kwa wafanyakazi. Hafai kuwa pale ameongoza shirika lile toka linaanza mpaka imefikia anaongoza watu na kutoa maamuzi kama vile ofisini ni nyumbani kwake.

Amewajengea wafanyakazi nidhamu ya woga hata pale wanaponyimwa haki zao wasiseme, kwasababu wakisema tu anawachukulia hatua hata bila kuwaita na kusikiliza upande wao. Vyombo vya habari tusaidieni kuweka hili wazi ili viongozi wetu wa serikali watusaidie kumng'oa huyu fisadi aliyefichika.



Naunga mkono hoja yako mkuu, huyu jamaa ni mmoja wa mafisadi walio mafichoni na jamaa anatafuna pesa ile mbaya. Mimi ni mmoja wa wanachama nakatwa pesa nyingi karibu mshahara wa mwalimu wa shule ya msingi kwa mwezi kwa hiari yangu nikitegemea siku moja bima ya taifa itakuja kuwa mali huko usoni. Lakini muda wote situlii maana kashfa kibao.
 
Dada yangu alikuwa anafanya kazi pale akaacha baada ya kumsingizia unaambiwa hata likizo tu haki ya mfanyakazi wanakataliwa.
 
Mtaje kwa jina lake, hakuna haja ya kumwogopa mtu wa aina hii!.Analindwa na nani huyu hadi ajiamini hivyo?..Hata hivyo kuna udhaifu mkubwa sana wa kiutendaji kwenye mfuko huu!...Ndio maana baadhi ya walimu wanakarahika hadi kwenda kubeba dawa na kutengenezea pombe ya kienyeji, ni baada ya kuona hawasaidiki na bima hii!
 
Back
Top Bottom