Kufa c mwiko
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 733
- 293
Sijawai kuona tawi lenye huduma za hovyo niliyoweza kupata huduma za crdb kuliko tawi la chamwino dodoma lililopo karibu na hospitari ya mkoa wa dodoma huduma zao ni kichefuchefu sasa sielewi ni kuwa wameizoea mno kazi au nini kwa mfano unachukua mkopo na umetimiza vigezo vyote form zinakaa mezani zaidi ya wiki tatu mpaka ukamsumbue meneja ndani ndipo ushughurikiwe uwezi kupata mkopo mpaka jasho likutoke hasa tafadhari mkurugenzi mulika tawi lile crdb ina heshima yake lakini sio tawi la chamwino dodoma.