mkereketwakamil
Member
- Aug 27, 2010
- 10
- 0
Mkurugenzi mkuu bima ya afya naye amfwate nyoni,
Amesababisha kushuka kwa morali ya utumishi kwa Wafanyakazi wa Mfuko wa bima ya afya kwa kuwatengenezea nidhamu za woga kwasababu akikosolewa anawaadhibu kwa kuhamisha wafanyakazi kutoka vituo vyao. Kwa mfano alimuamisha aliyekuwa mkurugenzi wa fedha kwa kusikiliza maneno bila ya ushahidi. Amekuwa akiongoza ofisi kwa kutumia Informers ambao kazi yao kubwa ni kumpelekea habari nani anasema nini na nani anasema nini kuhusu yeye binafsi na uongozi wake.Anateua jamaa zake na watu anaofahamiana nao kutoka NSSF na kuwapa vyeo bila kuwa na sifa kamili.
.
Amesababisha kushuka kwa morali ya utumishi kwa Wafanyakazi wa Mfuko wa bima ya afya kwa kuwatengenezea nidhamu za woga kwasababu akikosolewa anawaadhibu kwa kuhamisha wafanyakazi kutoka vituo vyao. Kwa mfano alimuamisha aliyekuwa mkurugenzi wa fedha kwa kusikiliza maneno bila ya ushahidi. Amekuwa akiongoza ofisi kwa kutumia Informers ambao kazi yao kubwa ni kumpelekea habari nani anasema nini na nani anasema nini kuhusu yeye binafsi na uongozi wake.Anateua jamaa zake na watu anaofahamiana nao kutoka NSSF na kuwapa vyeo bila kuwa na sifa kamili.
.