Mkurugenzi Manispaa ya Moshi unafunga biashara za watu soko la Mbuyuni kwa nini?

Mkurugenzi Manispaa ya Moshi unafunga biashara za watu soko la Mbuyuni kwa nini?

Ndagullachrles

Senior Member
Joined
Jun 20, 2023
Posts
198
Reaction score
209
nina dakika chache za kuwa hapa lakini namtumia salama tu Mkurugenzi Manispaa ya Moshi,Mwajuma Nasombe aache kufungia biashara za watu soko la Mbuyuni.

Wafanyabaishara hawa walipatwa na mkasa wa kuulinguliwa soko mara mbili,mwaka 2022 na mwaka jana wameingia hasara kubwa za kupoteza mali zao wamelipishwa madeni ya nyuma baada ya soko kukarabatiwa kabla vichwa vyao havijakaa sawa leo wamepandishiwa kodi hadi laki tatu kwa mwezi.

nitarudi na data kamili hapa kesho
 
Wamepandishiwa kodi hadi laki tatu, kutoka kodi ya shilingi ngapi ya awali?
Kutoka kodi ya shilingi 40,000,ni ongezeko la aslimia ngapi hapo au manispaa imeanza kufanyabiashara kama kampuni au mtu binafsi?
 
Lako 3 ndogo sana kuna biashara sana kwenye hilo soko napendekeza ifike laki 5🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom