Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,475
- 45,784
Huyo mkurugenzi atakuwa CHADEMA huyo huu ni mwaka wa uchaguzi na maeneo hayo ni ngome ya upinzani anachotaka ni kuchochea wananchi kwa kuwaudhi kwa kufunga makanisa yao ili oktoba uchaguzi ukifika wasiipe kura CCM
Hiki sio kipindi cha kuudhi makundi makubwa ya wapiga kura.
Huyo mkurugenzi ana agenda ya siri ya kuhakikisha CCM INASHINDWA .Kaanza kampeni zake za kuusaidia upinzani kushinda
Yaani niliposoma hoi comment nikakumbuka mbali mnamo mwaka 1984 huko USA Oregon kulikuwa na jamaa mmoja alianzisha dini yake anaitwa Rajneeshee au Osho
Ili kumchomeka mtu wao serikalini
Siwezi kuweka yote hapa ila jisomee kwa mda wako
Sent from my iPhone using Tapatalk