MfalmewaKiha
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 1,191
- 1,231
Salam kwenu,
Sina mengi ya kusema ila katika hali isiyo ya kawaida, Mkurugenzi wa H/mji wa Babati anaendelea KUFUNGA makanisa kisa "Ardhi yake sio kwa matumizi ya ibada".
Hali hii isipochunguzwa na kuleta suluhu inaweza kuleta situation isiyo ya kawaida kwakuwa kitendo cha kuingilia imani watanzania walio wengi hawajakizoea kitendo hiki.
NB: Mimi sina dini ila wenzangu wana dini.
Serikali isipochukua hatua za haraka moto unaweza kuwaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina mengi ya kusema ila katika hali isiyo ya kawaida, Mkurugenzi wa H/mji wa Babati anaendelea KUFUNGA makanisa kisa "Ardhi yake sio kwa matumizi ya ibada".
Hali hii isipochunguzwa na kuleta suluhu inaweza kuleta situation isiyo ya kawaida kwakuwa kitendo cha kuingilia imani watanzania walio wengi hawajakizoea kitendo hiki.
NB: Mimi sina dini ila wenzangu wana dini.
Serikali isipochukua hatua za haraka moto unaweza kuwaka.
Sent using Jamii Forums mobile app