Mkurugenzi achafua hali ya hewa Tunduma

Majungu si mtaji.Hebu soma na elewa vizuri taratibu za utoaji zabuni.Toka lini TEO akawa mjumbe wa pmu, evaluation team au mjumbe wa bodi ya zabuni? Kuwa makini siyo kukurupuka na kuwapa watu sumu bila maziwa.unachotakiwa kutupa hapa ni evaluation report nasi tungechambua hapa.
 
wewe Zyola inaonekana ni mmoja wa waliokosa tenda. badala ya kupeleka TAKUKURU unaleta umbea hapa.!
 
Inawezekana wewe ni mmoja ya watu waliokosa zabuni kwa kutokuwa na sifa...Na baada ya kukosa umeamua tu kuwachafua wenzio kwa kisingizio cha rushwa....

Kwa kawaida katika zabuni kuna utaratibu wa mtu kukata rufaa PPRA kama unaona kuna taratibu zilikiukwa katika kutoa hiyo zabuni....Ni bora ungeenda PPRA na kukaata rufaa ama kwenda TAKUKURU kumripoti huyo Mkurugenzi wa mji ili haki itendeke badaka ya kuja JF na kutaka sympathy ya members







mkuu ibara 18 uhuru wa maoni sheria ya 1984 na ib.6

18-[1].bila kuathiri sheria za nchi kila mtu yuko huru kuwa na maoni yoyote na kutoa nje mawazo yake na kutafuta, kupokea na kutowa habari na dhana zozote kupitia chombo chochote bila ya kujali mipaka ya nchi na pia ana uhuru wa mawasiliano yake kutoingiliwa kati

[2]. kila raia anayo haki ya kupewa taarifa wakati wowote kuhusu matukio mbalimbali nchini na duniani kote ambayo ni muhimu kwa maisha na shughuli za wananchi na pia juu ya masuala muhimu kwa jamii.

kumbuka jf ni chombo cha habari wanaoripoti habari haziwahusu. ila nikutupasha wengine ambao hatujui
 
Majungu si mtaji.Hebu soma na elewa vizuri taratibu za utoaji zabuni.Toka lini TEO akawa mjumbe wa pmu, evaluation team au mjumbe wa bodi ya zabuni? Kuwa makini siyo kukurupuka na kuwapa watu sumu bila maziwa.unachotakiwa kutupa hapa ni evaluation report nasi tungechambua hapa.




mkuu tatizo ni kukurupuka soma kwa makini na uelewe what is delegation of power kabla hujahoji kuhusu evaluaton team au wajumbe wa bodi kwa utawala tulionao ktk nchi hii na mfumo [mazoea] ni vigumu kupinga maamuzi au mawazo ya bosi wako na kwamba kumbuka kamati zote zipo chini ya mkurugenzi na pia TEO ujue kuwa anahusika na ni answerable katika shughuli yoyote ya kiuchumi ktk halmashauri yoyote ile na kumbuka kuwa Tunduma ni halmashauri na wala si serikali kuu km ilivo kwa halmashauri za wilaya, miji na majiji.
 
wewe Zyola inaonekana ni mmoja wa waliokosa tenda. badala ya kupeleka TAKUKURU unaleta umbea hapa.!


@welu kanawe uso, rushwa inashambuliwa haidhibitiwi what is TAKUKURU
 
mkuu tatizo ni kukurupuka soma kwa makini na uelewe what is delegation of power kabla hujahoji kuhusu evaluaton team au wajumbe wa bodi kwa utawala tulionao ktk nchi hii na mfumo [mazoea] ni vigumu kupinga maamuzi au mawazo ya bosi wako na kwamba kumbuka kamati zote zipo chini ya mkurugenzi na pia TEO ujue kuwa anahusika na ni answerable katika shughuli yoyote ya kiuchumi ktk halmashauri yoyote ile na kumbuka kuwa Tunduma ni halmashauri na wala si serikali kuu km ilivo kwa halmashauri za wilaya, miji na majiji.

zyola wasikuchoshe umesomeka ni wapambe wa mafisadi walisha poteza aibu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom