Limao unanunua shilingi ngapi kwa kilo.Kama we mkulima wa matunda aina yeyote njoo PM Tuzungumze kampuni inachukua matunda mbali mbali na kuyapack kwa ajili ya Export.Napenda tufanye mazungumzo na mkulima direct Sio Dalali maana tumegundua madalali hukwamisha baadhi ya biashara.
Mkulima njoo PM au 0785995599.
KARIBUNI!
Vp unalima na malimao.Nina shamba kubwa la machungwa
Umeanza kuvuna ?Nina shamba kubwa la machungwa
NdiyoUmeanza kuvuna ?
CoconutMadafu yanaitwaje kwa kidhungu?
Niuzie basiNdiyo
Wowww!!ni matunda poa?maana mie ninayo natafuta serious buyer from "huko mbele"Coconut
Mimi ninauza kwa wa-Kenya wznakuja mpaka shambaniWowww!!ni matunda poa?maana mie ninayo natafuta serious buyer from "huko mbele"
Shamba lako lipo wapi na ni heka ngapi mkuu??Mimi ninauza kwa wa-Kenya wznakuja mpaka shambani