Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Huu jamaa amewakasirikia kweli kweli watu wanaodai anawadhulumu Yamoto Band, amesema kuna watoto kibao mtaani kwenu na kama unaona anafaidi sana kusana na wewe kundi lako uwafanye mastaa kisha usiwanonye au uwanonye
Amesema pia anapokea simu nyingi kutoka mikoani wazai wakimtaka awachukue watoto wao lakini anashangaa wengine kumuandama anadhulumu
Amesema pia anapokea simu nyingi kutoka mikoani wazai wakimtaka awachukue watoto wao lakini anashangaa wengine kumuandama anadhulumu