Mkristo ni Mungu. Bila kuamini hivyo huwezi kuwashinda miungu watu na miungu yao

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,587
15,373
Sio mara ya Kwanza Mungu kuwafanya wanaomufuata Mungu.

Ili Musa amvae Farao ambaye kwa kimisri alikuwa anahadhi ya muungu alimfanya kuwa mungu kwa farao.

Kuna watu ni miungu, kuna miungu mingi, ukiwaface kama binadamu watakushinda, lazima uvae cheo chako cha umungu ili uwe juu yao.

Biblia inasema hivyo.
Zaburi 82:6
Mimi nimesema, Ndinyi miungu, Na wana wa Aliye juu, nyote pia.

Unapompokea Yesu, unafanyika mtoto wa Mungu. Mtoto huwa anaDNA za baba. Hivyo unakuwa na vinasaba vya kiungu vinavuoweza kukusaidia kukabili vimiungu na vimiungu watu vinavyokuzunguka.

Bila kuamini hivyo utatawaliwa na miungu na miunguwatu.

Ni hayo tu.
 
Back
Top Bottom