wewe vipi? wacha ushirikina, la msingi ni maombi tu kuwa Mungu awaponye haraka.poleni
kwann ndugu wa nyumba mnasafiri gari moja
Taarifa ni kuwa mdogo wake Felix amefariki akiwa Hospitali ya Muhimbili.Yeye Mwenyewe hakuumia sana ila mdogo wake pamoja na abiria mwingine wameumia vibaya na kwa sasa wapo Hospital ya rufaa ya mkoa wa Dodoma wakiendelea na matibabu.
pole sana mkosamali na ndugu zako, Pole pia umoja wa katiba ya wananchi/watanzania
R.I.P Felix . Poleni sana wananduguTaarifa ni kuwa mdogo wake Felix amefariki akiwa Hospitali ya Muhimbili.
Mungu ampumzishe anapostahili
Aliefariki mdogo wa mbunge anaitwa Essau Mkosamali,,,,,,R.I.P
Mbunge wa Muhambwe kupitia NCCR-MAGEUZO Felix Mkosamali amepata ajali mbaya ya barabarani eneo la wilaya ya BAHI mkoani Dodoma akiwa njiani kutokea Dodoma kwenda Kigoma.
Yeye Mwenyewe hakuumia sana ila mdogo wake pamoja na abiria mwingine wameumia vibaya na kwa sasa wapo Hospital ya rufaa ya mkoa wa Dodoma wakiendelea na matibabu.
Mungu awaponye mapema Amen.
Huu mwaka si wa kusafiri safiri hovyo...ajali zimekuwa zikitokea kila leo...