Mkosamali apata ajali mbaya Bahi mkoani Dodoma

Mkosamali apata ajali mbaya Bahi mkoani Dodoma

Hivi msalani et al hawajaja tu kwenye uzi huu kudai ni kazi ya CHADEMA hiyo?
 
Lakini wadau si mnajua NCCR ni sehemu ya UKAWA ambayo inaongozwa na CHADEMA. na wote tunajua CHADEMA huwa wanamalizana kinyemela, so inawezekana wamewaambukiza NCCR. Jamani vyama vya upinzani fungukeeeeeeeni! Achaneni na huyo "MCHUNGAJI MLA KONDOO!" Eti wanataka katiba bora ya Watanzania, mbona wanaua viongozi wanaokubalika na Watanzania? Tena wanawapotosha!
 
Pole sana mh,upone haraka uendeleze mapambano ya kumg'oa mkoloni mweusi
 
Dodoma alikuwa anatoka kufanya nini make tunajua ukawa wameoma kwenda dodoma yeye alikuwa anatoka dom kufanya nini.

Simiyu uwe na utu kwenye matatizo kama haya itikadi tunaweka kando
 
Lakini wadau si mnajua NCCR ni sehemu ya UKAWA ambayo inaongozwa na CHADEMA. na wote tunajua CHADEMA huwa wanamalizana kinyemela, so inawezekana wamewaambukiza NCCR. Jamani vyama vya upinzani fungukeeeeeeeni! Achaneni na huyo "MCHUNGAJI MLA KONDOO!" Eti wanataka katiba bora ya Watanzania, mbona wanaua viongozi wanaokubalika na Watanzania? Tena wanawapotosha!

Ebola ya akili ni noma sana
 
Mbunge wa Muhambwe kupitia NCCR-MAGEUZO Felix Mkosamali amepata ajali mbaya ya barabarani eneo la wilaya ya BAHI mkoani Dodoma akiwa njiani kutokea Dodoma kwenda Kigoma.

Yeye Mwenyewe hakuumia sana ila mdogo wake pamoja na abiria mwingine wameumia vibaya na kwa sasa wapo Hospital ya rufaa ya mkoa wa Dodoma wakiendelea na matibabu.

Mungu awaponye mapema Amen.

...loh pole zao,what went wrong mkuu,funguka kidogo...
 
Lakini wadau si mnajua NCCR ni sehemu ya UKAWA ambayo inaongozwa na CHADEMA. na wote tunajua CHADEMA huwa wanamalizana kinyemela, so inawezekana wamewaambukiza NCCR. Jamani vyama vya upinzani fungukeeeeeeeni! Achaneni na huyo "MCHUNGAJI MLA KONDOO!" Eti wanataka katiba bora ya Watanzania, mbona wanaua viongozi wanaokubalika na Watanzania? Tena wanawapotosha!

Acha kuzuga wewe mkosamali alikuwa anamtafuna mama yako rock hotel dodoma mimi nafahamu hilo au nikutajie chumba? mkosamali baba yako wa kambo hata kama hana ndevu usimchukie.
 
Lakini wadau si mnajua NCCR ni sehemu ya UKAWA ambayo inaongozwa na CHADEMA. na wote tunajua CHADEMA huwa wanamalizana kinyemela, so inawezekana wamewaambukiza NCCR. Jamani vyama vya upinzani fungukeeeeeeeni! Achaneni na huyo "MCHUNGAJI MLA KONDOO!" Eti wanataka katiba bora ya Watanzania, mbona wanaua viongozi wanaokubalika na Watanzania? Tena wanawapotosha!

...r.i.p marehemu Mzee Mgimwa,walio kuwekea sumu Mungu atawaadhibu tu ...!
 
Mbunge wa Muhambwe kupitia NCCR-MAGEUZO Felix Mkosamali amepata ajali mbaya ya barabarani eneo la wilaya ya BAHI mkoani Dodoma akiwa njiani kutokea Dodoma kwenda Kigoma.

Yeye Mwenyewe hakuumia sana ila mdogo wake pamoja na abiria mwingine wameumia vibaya na kwa sasa wapo Hospital ya rufaa ya mkoa wa Dodoma wakiendelea na matibabu.

Mungu awaponye mapema Amen.

Alikwenda Dodoma kufanya nn ilhali Ukawa wamesusa?
 
Back
Top Bottom