Solo Traveller
JF-Expert Member
- Apr 15, 2021
- 1,850
- 5,588
Wakuu natumia account ya Crdb bank, na hiyo account nilitumia kuomba mkopo kwaiyo Huwa wanakata moja kwa moja mara baada ya hela kuingia.
Sasa Kuna mtu anataka kunitumia hela kwa account hiyo nawezaje kukwepa hela isikatwe??
Mana inakatwa na mfumo nitumie njia gani hela hii isikatwe na mfumo kama kulipia deni?
Jinsi ya kuepuka boom advance
Kuna IT ameniambia nisaini saa sita usiku, mfumo unakuwa chini
Sasa Kuna mtu anataka kunitumia hela kwa account hiyo nawezaje kukwepa hela isikatwe??
Mana inakatwa na mfumo nitumie njia gani hela hii isikatwe na mfumo kama kulipia deni?
Jinsi ya kuepuka boom advance
Kuna IT ameniambia nisaini saa sita usiku, mfumo unakuwa chini