phael vet
Senior Member
- Sep 30, 2016
- 132
- 89
habari zenu
wadau wa elimu na wote wenye uelewa juu ya hii mikopo ya heslb ,nina rafiki angu amemaliza form four mwaka 2009 akaenda elimu ya kati hadi diploma na alipoomba mkopo alichaguliwa batch ya kwanza SUA lkn yalipotoka majina ya loan allocation la kwake halipo kabisa, sasa naomba kama kuna mtu anaweza kua anauelewa na hili wadau maana hapa ni kituo cha wasomi Ahsanteni
wadau wa elimu na wote wenye uelewa juu ya hii mikopo ya heslb ,nina rafiki angu amemaliza form four mwaka 2009 akaenda elimu ya kati hadi diploma na alipoomba mkopo alichaguliwa batch ya kwanza SUA lkn yalipotoka majina ya loan allocation la kwake halipo kabisa, sasa naomba kama kuna mtu anaweza kua anauelewa na hili wadau maana hapa ni kituo cha wasomi Ahsanteni