BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
Kuna Jamaa ana mpenzi wake, wanakaa tofauti lakini wapo karibu sana. Jamaa anafunguo za nyumba ya mpenzi wake kwa hiyo asipomkuta hufungua na kukaa akimsubiria halikadharika na demu hivyohivyo. Sasa kasheshe imejitokeza kumbe jamaa alichukua kadi ya gari ya demu bila kumwambia kaenda kuchukulia mkopo yapata mwaka sasa. Na jamaa hali mbaya sasa ameshindwa kumalizia deni, watoa mikopo wamekuja juu wanataka gari tu. Hapo demu ndio amejua kumbe kadi yake ilitumika kukopa huo mkopo nae kaja juu ile mbaya na hamtaki tena huyo jamaa.
katika hali hiyo wa JF mnashauri nini?
Mke wangu umesemaje eti?
ni story ya kweli , huyo demu ana jina la kilugha, kama Bumi, Gwantwa huwezi kujua kama demu au mwanaume. alitumia jina la demu kama jina lake
Kuna Jamaa ana mpenzi wake,
wanakaa tofauti lakini wapo karibu sana. Jamaa anafunguo za nyumba ya
mpenzi wake kwa hiyo asipomkuta hufungua na kukaa akimsubiria
halikadharika na demu hivyohivyo. Sasa kasheshe imejitokeza kumbe jamaa
alichukua kadi ya gari ya demu bila kumwambia kaenda kuchukulia mkopo
yapata mwaka sasa. Na jamaa hali mbaya sasa ameshindwa kumalizia deni,
watoa mikopo wamekuja juu wanataka gari tu. Hapo demu ndio amejua kumbe
kadi yake ilitumika kukopa huo mkopo nae kaja juu ile mbaya na hamtaki
tena huyo jamaa.
katika hali hiyo wa JF mnashauri nini?
alipokuwa anachukua huo mkopo mbona hakutushirikisha!?