beauty in me
Senior Member
- Dec 27, 2017
- 161
- 134
- Thread starter
-
- #41
Umekalili kila kitu utapeli sasa kama mimi nakupa pesa then unanirudishia kidogo kidogo utapeli uko wapi hapoAnasema riba nafuu halafu hasemi % ngapi ....kama sio utapeli ni nn?
Mkopo wetu ni wa muda mfupi hauzidi miezi sita na hatuna dhamana ndo maana tunakopesha wanaopokea mishahara tuMwataka nyumba zetu kuzichukua watoto wakose ulisi hatutaki
Kwa nini unataka kutuharibia jina?? Kama huna cha kuandika kwa nini usikae kimya kuliko kuandika uongo[emoji57]Nimeenda sahivi, ni nafuu asilima 80 tu
10% ila uwe mfanyakazi sio mjasiliamaliWe si upo karibu hapo wafatilie kama ni kweli riba zao nafuu.
Kwendraaaaa biashara unajiharibia mwenyewe unaficha riba kama waficha makalio kwani inahitaji siri!!!!! Kama ni siri usingeandika hapaKwa nini unataka kutuharibia jina?? Kama huna cha kuandika kwa nini usikae kimya kuliko kuandika uongo[emoji57]
10% kwa mwezi???? au, jaribu kuwa professional kidogo kwa kutoa maelezo yaliyonyooka yaan mtu aelewe, humu kuna watu wako serious na utapata wateja wengi tuu. Mimi biashara zangu nafanyia humu kwa account tofauti na wateja wanapiga simu kila uchao ila ni kuwa specific sio kuzugazuga.10% ila uwe mfanyakazi sio mjasiliamali
Maelezo bado hayajitoshelezi mkuu.10% ila uwe mfanyakazi sio mjasiliamali
Hatutoi mkopo zaidi ya miezi 6 na riba yetu ni 40% kwa marejesho yoteKama 10% kwa mwenzi it means ni 120% kwa mwaka....yaan ukikopa 1,000,000 utalipa riba 1,200,000 kwa mwaka. Au utalipa jumla 2,200,000 ( mkopo+riba)
Kwa hiyo ulivyosema umekuja ulikuja lini na saa ngapi?? Au ulikua unatufuta kiki? Mxieee[emoji57]Kwendraaaaa biashara unajiharibia mwenyewe unaficha riba kama waficha makalio kwani inahitaji siri!!!!! Kama ni siri usingeandika hapa
Uko mkoa gani?Mikoani vipi?
40% kwa marejesho woteMbona mnakwepa kuweka % ya riba? Ukiiweka unitag
Mtawapata tu.EDNEY CREDIT CO LTD
Inapenda kuwataarifu watumishi wa idara zote za serikali kuwa inatoa mikopo ifuatayo ndani ya dakika 15 tu:
a) Mikopo ya dharura
b) Mikopo ya mtaji au kupanua biashara
c) Ada za shule.
- Mikopo inayotolewa ni kuanzia Tsh 100,000 hadi 1,000,000 kwa riba nafuu sana.
- Muda wa marejesho ni kuanzia miezi mitatu hadi sita.
VIAMBATANISHO:
1. _KITAMBULISHO CHA TAIFA_
2. _KITAMBULISHO CHA KAZI_
3. _BARUA YA AJIRA NA KUTHIBITISHWA KAZINI_
4. _Taarifa ya mshahara ya miezi mitatu (salary slip)_
5. _BANK STATEMENT YA MIEZI MINNE_
6. _PASSPORT SIZE 2_
Fika ofsini kwetu Keko Dar
E-mail: edney@gmail.com
UPDATE:
Mkopo yote ni 40% kwa marejesho yote. Kiasi chochote utakachokopa utarejesha 40%
Afisa mikopo deal na wateja bana mie nitemeKwa hiyo ulivyosema umekuja ulikuja lini na saa ngapi?? Au ulikua unatufuta kiki? Mxieee[emoji57]
Umenitafuta mwenyewe kuleta maneno ya uzushi kwenye kazi za watuAfisa mikopo deal na wateja bana mie niteme
Okay tuendelee basi make namie sina kaziUmenitafuta mwenyewe kuleta maneno ya uzushi kwenye kazi za watu
Kweli huu mkopo ni kwa wenye shida tena za kufa yaan hauko risk taker na bado unataka maendeleo? Hapana riba ya aina hiyo ni kuiba!40% kwa marejesho wote
Hapana mkuu, kwa miezi sita ukichukua million basi urudishe million 1.4 ndani ya miezi sita.Faida ni Tshs 400000. Mkiwa kumi mtu ana milioni zake 4 kama faida ndani ya miezi sita...Mkiwa ishirini mtu ana milioni zake 8 kama faida ndani ya miezi sita! Jamani huo si wizi?Okay tuendelee basi make namie sina kazi
Enheee Kwahiyo kwa mwaka nalipa 120% dada afisa