Mkopo wa riba nafuu

Riba nafuu ndio kiasi gani
 
Huyo ni laghai tu,

, Kwanini kagoma kuweka masharti ya mkopo wala riba ya mkopo?
 
Hao ni huenda wakawa ni miongoni mwa malaghai,

Kwanini haweki Riba na masharti yote ya mkopo?

Watumishi kuweni macho na hawa jamaa
 
Ukitaga kupungua Uzito, preshaaa,kisukari, n.k basi jichangnaye kakope kwenye hizo micro finance kama hizo, Unaweza acha kazi ndio maana anaogopa hata weka riba..

Pia hana customer care... Poor her
 
acha mambo ya pm...weka mambo yote hapa.

n.b, acha usiri kama unaamini wewe unataka kusaidia watumishi!

.....eti PM....
 

Anzisheni App tuombe online
 
Yaaan kanikera Huyu mleta uuzi et anawabagua wakulima n'a kuwashusha kwa lugha ambayo un professional hafai kabisa yaani
 
Yaaan kanikera Huyu mleta uuzi et anawabagua wakulima n'a kuwashusha kwa lugha ambayo un professional hafai kabisa yaani
Usi judge kwa kuangalia upande mmoja je uliona jinsi hao wakulima walivyoniletea kejeli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…