Hii mifuko ni majipu. Kuna cku nilikuwa apo HQ kwa shida zangu tofaut niliskia wakimwambia memba mmoja alietaka kupata mkopo wa kwenda shule eti aende uko shule kuchukua fomu afu akaandikishe mkopo benki walizokubaliana nazo wao afu benk itampa mkopo kwa riba ya benki (wao wanatoa guarantii kwa benk ikuamini), nilichoka mwenyew! Nawaona hawa jamaa ni majambawaz tofaut yao wanakaba mchana na kuvaa tai. Km uko dar watembelee pale posta mpya usisikie la kuambiwa.