Upo mkoa gani kama upo dar na shida ni ugonjwa kweli na upo uhakika wa kurudisha nipo dar tuwasiliane takupa Bila riba, vyeti tachukua km dhamana tu binadamu hawaamini,nitafute
Sio vizuri jamaa, mbona jamaa anasema bado hajapata msaada, watu wakiona ulichoandika wanajua jamaa tayari ameshatatua shida yake, Sio vizuri kuandika jambo kama huna uhakika nalo.Utarudisha hio hio uliyoikopa bila riba
Labda hajaingia tena kwenye forum,nilim PM lakini sikujibiwa.Sio vizuri jamaa, mbona jamaa anasema bado hajapata msaada, watu wakiona ulichoandika wanajua jamaa tayari ameshatatua shida yake, Sio vizuri kuandika jambo kama huna uhakika nalo.
Hakutakiwa kuandika kama hakua na uhakika, ukizingatia umesema ni shida ya ugonjwa.Labda hajaingia tena kwenye forum,nilim PM lakini sikujibiwa.
Mimi nipo Dar kama alivyoandika yeye ila hakuna mawasiliano.
Dah mkuu nina shida,kwenye familia tupo watatu tumekubaliana kuchanga kila mmoja 200,000TZS ili asafirishwe toka kijijini hadi Dar ili apelekwe Muhimbili namimi sina kitu kwa sasa japo nategemea mwisho wa mwezi ila mimi ndio nakwamisha kutatua tatizo.Hakutakiwa kuandika kama hakua na uhakika, ukizingatia umesema ni shida ya ugonjwa.
nitumie pm boss maana mi sipati option ya kupmHabari Jamiiforum
Msaada mkopo wa haraka wa 200,000TZS.
Nitarudisha 280,000TZS tarehe 31/01/2016.
Lengo la kuhitaji mkopo ni kutatua tatizo la ugonjwa la ndugu yangu.
Dhamana ni vyeti vyangu(Form four,six na chuo).
Nipo Dar wilaya ya Ubungo kwa mwenye nia ya kunisaidia njoo PM kama haikuhusu pita kimya kimya.
Nimekupa like kwa ujumbe wa kiungwana ulioandika, kumbe hata bado hujamsaidia jamaa mbona?Upo mkoa gani kama upo dar na shida ni ugonjwa kweli na upo uhakika wa kurudisha nipo dar tuwasiliane takupa Bila riba, vyeti tachukua km dhamana tu binadamu hawaamini,nitafute
Mungu akubariki kaka mm sina uwezo tu tungeunganaUtarudisha hio hio uliyoikopa bila riba
Ni kweli anamuona kama ni ahadi hewa.Sio vizuri jamaa, mbona jamaa anasema bado hajapata msaada, watu wakiona ulichoandika wanajua jamaa tayari ameshatatua shida yake, Sio vizuri kuandika jambo kama huna uhakika nalo.
Pole sana ndugu me sina tu uwezo lkn ukiweka namba nitajisachi kivyovyoteLabda hajaingia tena kwenye forum,nilim PM lakini sikujibiwa.
Mimi nipo Dar kama alivyoandika yeye ila hakuna mawasiliano.