pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 17,660
- 13,719
Si kweli mkopo umekopwa na riba yake ndio hiyo au?Hizi ni Radio Nywele.
Ni vema wangekuja na mbinu mbadala ya kumchafua Rais wetu.
Sio kwa hili Swala
Mkuu unaweza kuandika kwa kutumia kichwa na kuelewa kilichosemwa badala ya kukurupuka?