Mkopo wa asset financing - benki ipi inafaa?

Mkopo wa asset financing - benki ipi inafaa?

Girland

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2016
Posts
2,672
Reaction score
4,560
Ninahitaji kununua mashine kwa ajili ya biashara na gharama yake ni kama dola 17,500/= Kama 43.7 Milioni

Ni benki gani inafaa kuomba kiasi hicho?

1. Nimesikia kuhusu kuitumia mashine Kama dhamana hili likoje?

2. Riba na marejesho kwa mwezi yatakuwaje? Kama mkopo ukiwa miaka 3?

Naomba ushauri wenu tafadhali

financial services ,Financial Analyst Financial bank statement
 
Back
Top Bottom