Sina details zaidi kuhusu masharti yao kwa undani. Ila ukihitaji naweza kuwauliza jama wanaofanyakazi na FINCA.
Hata hivyo, ni muhimu ujipange ili uweze kukidhi vigezo vyao.
Kwa mfano, hitaji la TIN na leseni ya biashara ni muhimu ili wajiridhishe kwamba wanampa mkopo mfanyabiashara. Kama hauko level hiyo basi tafuta wenzio muunde kikundi. Vinginevyo, kila taasisi wana masharti yao na unatakiwa uyatimize kama kweli unataka kukopa pesa zao!!