Mkopo nimepewa 25000 (Elfu ishirini na Tano)

Mkopo nimepewa 25000 (Elfu ishirini na Tano)

BETWEL JACKSON

Senior Member
Joined
Sep 19, 2015
Posts
117
Reaction score
7
Wakuu, mimi nilichaguliwa chuo cha MUCE lakini cha kushangaza nimepewa 25,000/= na sisi ni maskini wa kutupwa, nifanyeje,
(Usinitus Tafadhari)
 
Wakuu,mimi nilichaguliwa chuo cha MUCE lakini chakushangaza nimepewa 25000/= na sisi nimaskin wa kutupwa,nifanyeje,
(Usinitus Tafadhari)

Hongera maana wapo ambao hawajapata hata kdg we hapo uko na uhakika was MA so jipange na hongera
 
wakuu,mimi nilichaguliwa chuo cha muce lakini chakushangaza nimepewa 25000/= na sisi nimaskin wa kutupwa,nifanyeje,
(usinitus tafadhari)

nunua crate moja ya safari lager ujipongeze. Au kama upo na kampani kubwa, hiyo hela inatosha kabisa kununulia crate mbili za eagle lager na balance itabaki!!
 
Kuna watu wengine wana akili fupi kama wewe mtoa post, sasa hapo unatuambia ili iwaje? tukusaidie nini? huu ni umaskini wa akili.
 
nunua crate moja ya safari lager ujipongeze. Au kama upo na kampani kubwa, hiyo hela inatosha kabisa kununulia crate mbili

Hata kama kwnu una maisha mazuri,lakin si vema kuwadhihak wasio nacho..!
SHAME UPON YOU
 
Acheni wehu nyinyi mnashindwa mshauri mpka muanze kumuambia maneno ya kipuuzi namna hii hivi watz tumekuwaje na ni nan aliyeturoga mtu ashasema hana uwezo wa kulipa hicho kiasi kilichobaki mnaanza muongezea maumivu kwa maneno ya hovyo tubadilike
 
Nilisema jana, let's not celebrate kuhusu hii mikopo ya HELSB. Utaambiwa wote walioomba wamepewa mikopo ila ndio unakuta madudu kama haya. Kwanini isitoe mikopo kwa mahitaji yote ya mtu?

Siasa mbaya sana. Nakataa kushangilia kuwa vijana asilimia 90 wamepewa mkopo mpaka nijue wamepewa nini.

Kijana pole sana.
 
Wakuu,mimi nilichaguliwa chuo cha MUCE lakini chakushangaza nimepewa 25000/= na sisi nimaskin wa kutupwa,nifanyeje,
(Usinitus Tafadhari)

Hongera kwa kupata mkopo japo unauona na mdogo.

Mie nakusauli ufanya yafuatayo:- Kwa kuwa huo unaouita mkopo wa 25,000/- ni sehemu ya ada tu lakini mambo mengine kama accomodation, meal allowance na special faculty allowance vyote unapata kwa ukamilifu wake, basi hakikikisha unasave kutoka kwenye hayo mafungu kisha unajilipia ada na pengine unaweza kuwasaidia ata na wadogo zako wengine. Sie tunaotoka kwenye familia masikini na tunafahamu tulipotoka ndivyo tulivyokuwa tunafanya. Mie niliweza kumsomesha mdogo wangu sekondari ya binafsi kwa kufanya hivyo. Lakini wewe ukitaka kununua simu ya touch screen, TV, Fridge na kujirusha utadisco ata kabla shule haijaanza.
Nimekupa uzoefu wangu, kazi ni kwako!
 
Karibu MUCE!! pia mshukuru mungu maana wengi wamekosa!! Ndo nchi yako hii
 
Tunamuomba Rais aangalie vijana wapewe hela zote. We are not interested with statistics.
 
Hongera kwa kupata mkopo japo unauona na mdogo.

Mie nakusauli ufanya yafuatayo:- Kwa kuwa huo unaouita mkopo wa 25,000/- ni sehemu ya ada tu lakini mambo mengine kama accomodation, meal allowance na special faculty allowance vyote unapata kwa ukamilifu wake, basi hakikikisha unasave kutoka kwenye hayo mafungu kisha unajilipia ada na pengine unaweza kuwasaidia ata na wadogo zako wengine. Sie tunaotoka kwenye familia masikini na tunafahamu tulipotoka ndivyo tulivyokuwa tunafanya. Mie niliweza kumsomesha mdogo wangu sekondari ya binafsi kwa kufanya hivyo. Lakini wewe ukitaka kununua simu ya touch screen, TV, Fridge na kujirusha utadisco ata kabla shule haijaanza.
Nimekupa uzoefu wangu, kazi ni kwako!

una ushaur mzur kaka namm nimetokea familia za kimackin japo Nina asilimia mia napga edu mwenge but umemshaur vizur huyo mwenzetu
 
Ana maisha mazuri wapi bwana kwao huyo shida tuupuu
 
Back
Top Bottom