Wazabanga kuku
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 264
- 379
Wadau,
Nina wazo la kuanzisha chuo cha hotel na utalii au kufungua mgahawa na bar kubwa but sina mtaji, je kuna bank ambayo inaweza kunikopesha angalau 20 milioni kwa kuweka dhamana vyeti vyangu vya shule kuanzia darasa la kwanza hadi PGDE. Manake sina kitu kingine cha kuweka dhamana sina ardhi, sina nyumba sina chochote zaidi ya kumiliki hivi vyeti.
Nijuzeni bank gani inawezanisaidia.
Nina wazo la kuanzisha chuo cha hotel na utalii au kufungua mgahawa na bar kubwa but sina mtaji, je kuna bank ambayo inaweza kunikopesha angalau 20 milioni kwa kuweka dhamana vyeti vyangu vya shule kuanzia darasa la kwanza hadi PGDE. Manake sina kitu kingine cha kuweka dhamana sina ardhi, sina nyumba sina chochote zaidi ya kumiliki hivi vyeti.
Nijuzeni bank gani inawezanisaidia.