Dongmei
Member
- Oct 10, 2020
- 92
- 86
hyo GPA kubwa ni kwanzia ngapi??Ndohvo bro' na ukipata GPA kubwa unaongezewa
hyo GPA kubwa ni kwanzia ngapi??Ndohvo bro' na ukipata GPA kubwa unaongezewa
Hii ni kweli kabisa.Ndohvo bro' na ukipata GPA kubwa unaongezewa
Mtawafanya nini hata wasipowapa thumni ?siasa hizi wasilete kwenye elimu
mkuu watu awana sup na pesa zimepunguzwaZinapunguzwa sababu unavyopata sup bodi wanaona haupo serious
Kweli kabisa GPA gan hiyohyo GPA kubwa ni kwanzia ngapi??
haa sawa mkuu nimekupataNdohvo bro' na ukipata GPA kubwa unaongezewa
hyo GPA kubwa ni kwanzia ngapi??
Zinapunguzwa sababu unavyopata sup bodi wanaona haupo serious
Kweli kabisa GPA gan hiyo
sema wameamua kubadili mambo yao GPA sio tatizo sanaSi kweli mkuu, first year me nlipata SUP moja na Carryover moja na nlikuwa na GPA ya 2.8 lakn mkopo ulirudi 100% pesa za field, special faculty na books and stationery labda Kama mwaka huu wamebadili
Mbona watu wana GPA 4.0 kabisa na wamepunguziwaNi 2.0
duuh mwaka huu sasa sijui wanavigezo gani maana wengi wanalalamika kupunguziwa allocation zao, huku wengine ada imeondolew kbsa ikaachwa boom tu duhKawaida GPA ya kuanzia 2.0 unarudishiwa mkopo wote (kwa UDOM) ,GPA ya 1.8-1.9 lazma upunguziwe au kunyimwa kabisa ikiwa umepata gpa ya 2+ na umekatwa pesa ndo sjui labda wamepandisha cutt points.
Yani shida wanaweka siasa kwenye vitu vya msingiduuh mwaka huu xx cjui wanavigezo gan...maan weng wanalalamika kupunguziwa allocation zao, huku wengine ada imeondolew kbsa ikaachwa boom tu duh
Mbona watu wana GPA 4.0 kabisa na wamepunguziwa
Yani shida wanaweka siasa kwenye vitu vya msingi
Serikali mkuuHiyo ni vyuo vya private au
watakudai tu data si wanazoYaan wanakupora mkopo wao huku upo mwaka wa tatu, Sasa ukishindwa kujilipia ukaacha chuo, ndo wanakuwa wamepoteza pesa za miaka yote miwili