Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,416
Mkono kawaona Mwakyembe, Mwandosya, Ulimboka na Mwangosi walivyofanywa. Its not wealth, karudisha majeshi
Dogo hamjui Mkono si unajua tena JF ni bahari inasomba kila kitu.
Huyu mzee tayari nilishamdharau baada ya ile kauli yake kwamba "patachimbika" endapo asingepitishwa!
kwa historia tu, hakuna mwana ccm yeyote aliyewahi kutoa kauli halafu akaisimamia, kama yupo nijuze inawezekana mi sijui hiyo kauli