Mkongo wa mawasiliano wa taifa!

Mkongo wa mawasiliano wa taifa!

mr mc

Member
Joined
Jul 20, 2013
Posts
5
Reaction score
1
Jamani mie nashangaa sana kuhusu hii serikali yetu ya Tanzania, nakumbuka hapo nyuma walitutangazia wananchi kwamba mkongo wa taifa ukikamilika gharama za mawasiliano ya kiilektroniki zitashuka. Sasa nashangaa kuona gharama za matumizi ya vifaa hivyo yanazidi kuongezeka zaidi kuliko hapo nyuma. Au mkongo huo uliishia wapi? Naombeni ufafanuzi wa jambo hili kwa anaelifahamu kwa kina zaidi.
 
seyikayi sikivu...maisha bora kwa kila mtanzania...watu mwaaa...wakamvulia na nguo ------.....mara mambo sio afu akaulizwa kwa nini tz ni maskini akajibu hata yeye hajui.....
 
Kwani huo mkongo wenyewe umeanza kufanya kazi?
 
uongo ukizidi sana adi wanasahau walichosema. mim pia nimeshangaa pia
 
Huo mkongo utakuwa haujafika mikoa mingi.huku iringa---mbeya cijaona
 
Jamani mie nashangaa sana kuhusu hii serikali yetu ya Tanzania, nakumbuka hapo nyuma walitutangazia wananchi kwamba mkongo wa taifa ukikamilika gharama za mawasiliano ya kiilektroniki zitashuka. Sasa nashangaa kuona gharama za matumizi ya vifaa hivyo yanazidi kuongezeka zaidi kuliko hapo nyuma. Au mkongo huo uliishia wapi? Naombeni ufafanuzi wa jambo hili kwa anaelifahamu kwa kina zaidi.

Hivi nyinyi mnafikiri mtu mwenye akili zake timamu anapoamua kwenda kupima akili ataweza kweli kutatua matatizo ya mkongo? Shauri yenu!


Ooops naona wenye kumwagia watu tindikali wanarejea kwa chati kimya kimya.
 
Back
Top Bottom