Cassava
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 282
- 36
Wadau za leo, katika kuhangaika nimebahatika kukusanya kiasi na sasa nataka na mimi nipumzike kutembea kwa miguu safari ndefu za mjini. Kwa ufupi nataka kununua mkoko. Nimetembelea website za kuuza mikoko nikakutana na mkoko aina ya [h=1]"Toyota Voxy" wa mwaka 2002, Unauzwa TShs. 6,500,000/- DUTY NOT PAID, Umetembea kilometa 98000, Unatumia petrol na ingine size ni 2000cc, Wauzaji wanasema uko ready to be imported.
Sasa wadau mwenye kujua MIKOKO na uagizaji kwa ujumla, naomba kujua kama huo mkoko unauzwa hiyo bei (6.5M), je, ili niuweke barabarani kabisa natakiwa kuwa na shilingi ngapi?
Mimi siyo mzoefu naomba mnipe ushauri na pia naomba mwenye kujuwa waagizaji waaminifu ambao sitazungushwa zungushwa sana.
Naomba pia kujuwa lipi jema kuagiza kutoka Japan au kwenda show room na kutungua? Je ukienda show room maswala ya TRA na malipo mengine inakuwa nafuu?[/h]
Naomba mwenye kuelewa anisaidie.
Wenu Mdau.
Sasa wadau mwenye kujua MIKOKO na uagizaji kwa ujumla, naomba kujua kama huo mkoko unauzwa hiyo bei (6.5M), je, ili niuweke barabarani kabisa natakiwa kuwa na shilingi ngapi?
Mimi siyo mzoefu naomba mnipe ushauri na pia naomba mwenye kujuwa waagizaji waaminifu ambao sitazungushwa zungushwa sana.
Naomba pia kujuwa lipi jema kuagiza kutoka Japan au kwenda show room na kutungua? Je ukienda show room maswala ya TRA na malipo mengine inakuwa nafuu?[/h]
Naomba mwenye kuelewa anisaidie.
Wenu Mdau.