Apiwe
Member
- Jul 12, 2026
- 8
- 18
Asubuhi
Kuna jamaa amepata dharula hapa mtaani na kukimbizwa hospital na baada ya uchunguzi jamaa amegundulika kuwa kibovu cha mkojo kimeziba.
Katika tiba ikawa kama inashindikana kutokana na gharama za matibabu na wafanisi wetu wa tiba hiyo hii imetokea hapa Dar.
Ndugu wa jamaa wakawa wanahusisha jambo hilo na Imani potofu , ikabidi wamuwaishe kwao Mwanza so atapelekwa hospital za huko, nasikia jamaa anakojoa vimkojo vyeusi na anatapika maji meusi mwanzo madoctor walidhani ni limonia lakini sio.
Wakuu nilikuwa nauliza dalili hizi zinaweza kuwa matatizo hayo yanasababishwa na Nini? Kibofu cha mkojo kuziba na hili la kupandikizwa mkojo ni nini? Hasa sababu na inakuaje? Kuaje? Kupandikizwa mkojo.
Kwa ambao wamewahi kusikia ugonjwa huyo na wanaojua tu usizue taharuki.
Asante
Kuna jamaa amepata dharula hapa mtaani na kukimbizwa hospital na baada ya uchunguzi jamaa amegundulika kuwa kibovu cha mkojo kimeziba.
Katika tiba ikawa kama inashindikana kutokana na gharama za matibabu na wafanisi wetu wa tiba hiyo hii imetokea hapa Dar.
Ndugu wa jamaa wakawa wanahusisha jambo hilo na Imani potofu , ikabidi wamuwaishe kwao Mwanza so atapelekwa hospital za huko, nasikia jamaa anakojoa vimkojo vyeusi na anatapika maji meusi mwanzo madoctor walidhani ni limonia lakini sio.
Wakuu nilikuwa nauliza dalili hizi zinaweza kuwa matatizo hayo yanasababishwa na Nini? Kibofu cha mkojo kuziba na hili la kupandikizwa mkojo ni nini? Hasa sababu na inakuaje? Kuaje? Kupandikizwa mkojo.
Kwa ambao wamewahi kusikia ugonjwa huyo na wanaojua tu usizue taharuki.
Asante