Josephat Sanga
Senior Member
- Aug 29, 2016
- 151
- 97
Siku ya jana tarehe 02/07/2017 mkoa wa Tabora pamoja na wilaya zake walifanya mandamano ya amani ambayo yaliwahusisha wanafunzi walimu pamoja na wazazi lengo la mandamano hayo ilikuwa ni kupinga idadi ya utoro kwa wanafunzi mashuleni
Tarifa mbali mbali ambazo zimekuwa zikitolewa kuhusiana na masuala ya elimu zimekuwa zikionyesha mkoa wa Tabora unaongoza kwa utoro wa wana7funzi mashuleni, pamoja na mimba za umri wa chini ya miaka kumi na nane.
Tarifa mbali mbali ambazo zimekuwa zikitolewa kuhusiana na masuala ya elimu zimekuwa zikionyesha mkoa wa Tabora unaongoza kwa utoro wa wana7funzi mashuleni, pamoja na mimba za umri wa chini ya miaka kumi na nane.