Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,518
- 9,722
Siasa za Wanyakyusa kutaka kutawala makabila mengine ndio ilisababisha Mkoa ukagawanywa.
Acha ukabila..Mbeya tulia anatosha..
Kwa mwelekeo huu wa tume yao,jeshi lao,ikulu yao inawezekana!msimpe sugu moyo mwambieni ukweli!!!Kama uchaguzi wa serekali za mitaa yametokea na hadi leo kimya!hakuna cha tume huru wala nini hapa!!!Upinzani utapotea tz kabisaaa!!!mark my words!!!Utakuwepo moyoni lakini haupo kwenye system ni kazi bure kabisa!!!!Hakuna mjinga Mbeya mkuu
Nawasifu sana WachaggaMbeya sidhani kama ni wapumbavu kama Tulia anavyotaka kuwaaminisha watu wa CCM kuwa Mbeya ni wajinga hivyo anawaweza kwa hadaa zake?
Jee ni kweli Mbeya ni wajinga?
Ukabila hautakiwi, ACHA FIKRA POTOFU.Mimi sio mwanasiasa bali ni mtumishi hapa Mbeya. Nimekuja mbeya sasa ni mwaka wa 4. Kuna jambo linaendelea mbeya na wao hawataki kulikemea.
Mkoa wa Mbeya wasipoangalia kufikia mwaka 2025 watatawaliwa na wanyakyusa. Nikupe takwimu Mbunge wa Chunya, Kyela, Rungwe na Busokelo ni Wanyakyusa. Mbeya Mjini, Mbalali na Mbeya vijijini si Wanyakyusa. Mwaka huu nilikutana na rafiki yangu jana Uyole akaniambia mjini wameshakaa lazima Tulia ashinde na sasa wanaangalia kati ya Mbalali na Mbeya vijijini nako wawe na mtu wao mwenye asili ya unyakyusa.
Aliniambia eti Rais amesema Tulia atakuwa Spika na 2025 ndiye atakuwa Rais. Mkakati wa kufanikisha Wanyakyusa eti unaratibiwa na wafanyabiashara wakubwa wa kinyakyusa.
Ombi langu kwa watu wa Mbeya kama mmemchoka Sugu tafuteni mtu mwingine. Tulia atawapeleka jehanamu. Hivi hamujiulizi anatoa wapi hela zote anazotoa kila siku ambazo hazifanani na mshahara wake? Hamjui kama anatumia ofisi yake vibaya kuomba mahela kwa wafanyabiashara ili kuja kuwanunua? Anaposema atakuwa Spika kwani Ndugai hagombei?
Sisi Tanga tunampenda Ummy lakini hajatuhonga ila matendo yake yanatufanya hata wapinzani tumpende.
Kila siku siyo jumapili mkuu , kuondoka kwetu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ilikuwa ni kutengeneza ushahidi wa kujiondoa kwenye lawama kwa yatakayotokea kwenye uchaguzi mkuu ( nakufichulia siri kidogo tu )Kwa mwelekeo huu wa tume yao,jeshi lao,ikulu yao inawezekana!msimpe sugu moyo mwambieni ukweli!!!Kama uchaguzi wa serekali za mitaa yametokea na hadi leo kimya!hakuna cha tume huru wala nini hapa!!!Upinzani utapotea tz kabisaaa!!!mark my words!!!Utakuwepo moyoni lakini haupo kwenye system ni kazi bure kabisa!!!!
Mbona ukabila kwa hivi sasa ndio sera y chama chetu??Ukabila hautakiwi, ACHA FIKRA POTOFU.
HahahahahaaaaaMimi sio mwanasiasa bali ni mtumishi hapa Mbeya. Nimekuja mbeya sasa ni mwaka wa 4. Kuna jambo linaendelea mbeya na wao hawataki kulikemea.
Mkoa wa Mbeya wasipoangalia kufikia mwaka 2025 watatawaliwa na wanyakyusa. Nikupe takwimu Mbunge wa Chunya, Kyela, Rungwe na Busokelo ni Wanyakyusa. Mbeya Mjini, Mbalali na Mbeya vijijini si Wanyakyusa. Mwaka huu nilikutana na rafiki yangu jana Uyole akaniambia mjini wameshakaa lazima Tulia ashinde na sasa wanaangalia kati ya Mbalali na Mbeya vijijini nako wawe na mtu wao mwenye asili ya unyakyusa.
Aliniambia eti Rais amesema Tulia atakuwa Spika na 2025 ndiye atakuwa Rais. Mkakati wa kufanikisha Wanyakyusa eti unaratibiwa na wafanyabiashara wakubwa wa kinyakyusa.
Ombi langu kwa watu wa Mbeya kama mmemchoka Sugu tafuteni mtu mwingine. Tulia atawapeleka jehanamu. Hivi hamujiulizi anatoa wapi hela zote anazotoa kila siku ambazo hazifanani na mshahara wake? Hamjui kama anatumia ofisi yake vibaya kuomba mahela kwa wafanyabiashara ili kuja kuwanunua? Anaposema atakuwa Spika kwani Ndugai hagombei?
Sisi Tanga tunampenda Ummy lakini hajatuhonga ila matendo yake yanatufanya hata wapinzani tumpende.
Na kuna Wazaramo wangapi Dar es Salaam siku hizi?mleta uzi naomba unambie mkoa wa dar es salaam una wabunge wazaramo wangapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna wanyakyusa wangapi mbeya mjini siku hizi?Na kuna Wazaramo wangapi Dar es Salaam siku hizi?
Swali juu ya swali? It won't work.
Hivi mkuu unajua kuwa umeandika taka taka sana. Ebu tulia kwanza halafu urudie tena kusoma ulichokiandika, nafikiri utaamua tu, kama sio kuomba mods wakupige ban basi utafuta tu ulichokiandika.Mimi sio mwanasiasa bali ni mtumishi hapa Mbeya. Nimekuja mbeya sasa ni mwaka wa 4. Kuna jambo linaendelea mbeya na wao hawataki kulikemea.
Mkoa wa Mbeya wasipoangalia kufikia mwaka 2025 watatawaliwa na wanyakyusa. Nikupe takwimu Mbunge wa Chunya, Kyela, Rungwe na Busokelo ni Wanyakyusa. Mbeya Mjini, Mbalali na Mbeya vijijini si Wanyakyusa. Mwaka huu nilikutana na rafiki yangu jana Uyole akaniambia mjini wameshakaa lazima Tulia ashinde na sasa wanaangalia kati ya Mbalali na Mbeya vijijini nako wawe na mtu wao mwenye asili ya unyakyusa.
Aliniambia eti Rais amesema Tulia atakuwa Spika na 2025 ndiye atakuwa Rais. Mkakati wa kufanikisha Wanyakyusa eti unaratibiwa na wafanyabiashara wakubwa wa kinyakyusa.
Ombi langu kwa watu wa Mbeya kama mmemchoka Sugu tafuteni mtu mwingine. Tulia atawapeleka jehanamu. Hivi hamujiulizi anatoa wapi hela zote anazotoa kila siku ambazo hazifanani na mshahara wake? Hamjui kama anatumia ofisi yake vibaya kuomba mahela kwa wafanyabiashara ili kuja kuwanunua? Anaposema atakuwa Spika kwani Ndugai hagombei?
Sisi Tanga tunampenda Ummy lakini hajatuhonga ila matendo yake yanatufanya hata wapinzani tumpende.
Hili jukwaa limepoteza mwelekeo kwa kuwa na takataka nyingiMimi sio mwanasiasa bali ni mtumishi hapa Mbeya. Nimekuja mbeya sasa ni mwaka wa 4. Kuna jambo linaendelea mbeya na wao hawataki kulikemea.
Mkoa wa Mbeya wasipoangalia kufikia mwaka 2025 watatawaliwa na wanyakyusa. Nikupe takwimu Mbunge wa Chunya, Kyela, Rungwe na Busokelo ni Wanyakyusa. Mbeya Mjini, Mbalali na Mbeya vijijini si Wanyakyusa. Mwaka huu nilikutana na rafiki yangu jana Uyole akaniambia mjini wameshakaa lazima Tulia ashinde na sasa wanaangalia kati ya Mbalali na Mbeya vijijini nako wawe na mtu wao mwenye asili ya unyakyusa.
Aliniambia eti Rais amesema Tulia atakuwa Spika na 2025 ndiye atakuwa Rais. Mkakati wa kufanikisha Wanyakyusa eti unaratibiwa na wafanyabiashara wakubwa wa kinyakyusa.
Ombi langu kwa watu wa Mbeya kama mmemchoka Sugu tafuteni mtu mwingine. Tulia atawapeleka jehanamu. Hivi hamujiulizi anatoa wapi hela zote anazotoa kila siku ambazo hazifanani na mshahara wake? Hamjui kama anatumia ofisi yake vibaya kuomba mahela kwa wafanyabiashara ili kuja kuwanunua? Anaposema atakuwa Spika kwani Ndugai hagombei?
Sisi Tanga tunampenda Ummy lakini hajatuhonga ila matendo yake yanatufanya hata wapinzani tumpende.
no hukuelewa concept yangu mkuu lengo langu ni kila anaefaa inabidi achaguliwe sio kwa kigezo cha kabilaSwali juu ya swali? It won't work.
Nimekuuliza maana insinuation yako ni kwamba idadi ya watu wa kabila fulani ndiyo inaamua nani awe Mbunge.
Sugu kabila gani? Kabila lake ni wengi kiasi hicho Mbeya?