Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 7,495
- 12,602
Mimi sio mwanasiasa bali ni mtumishi hapa Mbeya. Nimekuja mbeya sasa ni mwaka wa 4. Kuna jambo linaendelea mbeya na wao hawataki kulikemea.
Mkoa wa Mbeya wasipoangalia kufikia mwaka 2025 watatawaliwa na wanyakyusa. Nikupe takwimu Mbunge wa Chunya, Kyela, Rungwe na Busokelo ni Wanyakyusa. Mbeya Mjini, Mbalali na Mbeya vijijini si Wanyakyusa. Mwaka huu nilikutana na rafiki yangu jana Uyole akaniambia mjini wameshakaa lazima Tulia ashinde na sasa wanaangalia kati ya Mbalali na Mbeya vijijini nako wawe na mtu wao mwenye asili ya unyakyusa.
Aliniambia eti Rais amesema Tulia atakuwa Spika na 2025 ndiye atakuwa Rais. Mkakati wa kufanikisha Wanyakyusa eti unaratibiwa na wafanyabiashara wakubwa wa kinyakyusa.
Ombi langu kwa watu wa Mbeya kama mmemchoka Sugu tafuteni mtu mwingine. Tulia atawapeleka jehanamu. Hivi hamujiulizi anatoa wapi hela zote anazotoa kila siku ambazo hazifanani na mshahara wake? Hamjui kama anatumia ofisi yake vibaya kuomba mahela kwa wafanyabiashara ili kuja kuwanunua? Anaposema atakuwa Spika kwani Ndugai hagombei?
Sisi Tanga tunampenda Ummy lakini hajatuhonga ila matendo yake yanatufanya hata wapinzani tumpende.
Natamani nitukane ila ban ndo tatizo, unakuwaje na fikra potofu za UKABILA kima wewe?, Mwalimu julius Kambarage nyerere alikataa haya mambo asee, nikisema unataka kuhatarisha amani ya nchi nitakuwa nimekosea?, kuwa makini na matamshi yako
Mh hasunga ni mnyakyusa?
Leta hoja zenye akili sio za uchonganishi
Mwalimu
