Mkoa wa Kilimanjaro washindwa kuingiza hata shule moja kwenye kumi bora matokeo ya darasa la Saba, 2021

Duuu mkuu si vizuri Sasa Mana ni watanzania ama unataka kuleta ushindani na wakenya wa kikabila. Mana kule mkikuyu ama Tigray Ethiopia wanajiona wao ni Bora kuliko wengine.
Kama unao uwezo tafuta aliyekuzidi ukamwambie kuwa una kitu fulani.
Afu unatengeneza disunity among Tanzanian societies. Umeona USA ilivyo na umoja ni nchi kubwa kieneo waliungana. China inaitaka Taiwan. Umoja ni nguvu utengano.
Kama kusoma Kilimakyasharo wamesoma no need to brag blah blah. Ni Kama ukiwa na hela afu unaenda kwa asiyekuwa nacho unajisifu kuwa Nina hela. Tumia hela kwa manufaa yako ama umepewa ili ukatambe.
Afrika ukabila unatumaliza. Mana hata waliosoma bado hawajaelimika.
Kama vipi daini nchi yenu mbona muasisi wenu mareale alienda uno kudai Uhuru wa wachaga tu.
Ila kyasaka Nyerere akaomba Uhuru wa tanganyika akapewa mana walimuona Ana akili kubwa.
Kumbuka before ya ukoloni tulikuwa tukiishi kikabila Sana.
Ndo Mana hata mangi Sina alimsaidia mjerumani kumpiga mangi meli.
Badala ya wao kuungana kumpiga mjerumani.

Imagine Russia China USA nchi ni kubwa kieneo Sana Ila wako pamoja.
Kwani ku dominate huko wewe kunasaidia Nini ama unalisha your good wolf within your soul
Huyu Luambo Makiadi ni mkabila Sana, Yaani komenti zake au nyuzi zake kila sehemu lazima ziwe na elements za ukabila.
 
Ni kweli mpo, Ila uwepo wenu huko ni mdogo, kwahiyo bakini huko kwenye biashara ambapo nadhani hata huko muda si mrefu mnaenda kupigwa KO.
Hatuwez kuwa wachache tupo enough kila sekta sema Underdogs wanapokutana na giants lazma wajione kuwa wame win kumbe sisi tupo KWENYE race mda mrefu tu
 
Pangekua na shule nyingi mikoa mingine Kama ilivyo Kilimanjaro tangu zamani,hao wachaga usingewaona
Kwan tuliwaomba msiwe na shule?
Kilimanjaro hata sasahv shule zinajengwa sio zile za zamani tu
Nyie kama mnawekeza kucheza ngoma mtapataje shule?
 
Duuu mkuu si vizuri Sasa Mana ni watanzania ama unataka kuleta ushindani na wakenya wa kikabila. Mana kule mkikuyu ama Tigray Ethiopia wanajiona wao ni Bora kuliko wengine.
Kama unao uwezo tafuta aliyekuzidi ukamwambie kuwa una kitu fulani.
Afu unatengeneza disunity among Tanzanian societies. Umeona USA ilivyo na umoja ni nchi kubwa kieneo waliungana. China inaitaka Taiwan. Umoja ni nguvu utengano.
Kama kusoma Kilimakyasharo wamesoma no need to brag blah blah. Ni Kama ukiwa na hela afu unaenda kwa asiyekuwa nacho unajisifu kuwa Nina hela. Tumia hela kwa manufaa yako ama umepewa ili ukatambe.
Afrika ukabila unatumaliza. Mana hata waliosoma bado hawajaelimika.
Kama vipi daini nchi yenu mbona muasisi wenu mareale alienda uno kudai Uhuru wa wachaga tu.
Ila kyasaka Nyerere akaomba Uhuru wa tanganyika akapewa mana walimuona Ana akili kubwa.
Kumbuka before ya ukoloni tulikuwa tukiishi kikabila Sana.
Ndo Mana hata mangi Sina alimsaidia mjerumani kumpiga mangi meli.
Badala ya wao kuungana kumpiga mjerumani.

Imagine Russia China USA nchi ni kubwa kieneo Sana Ila wako pamoja.
Kwani ku dominate huko wewe kunasaidia Nini ama unalisha your good wolf within your soul
Lengo sio dis unity Bali ku admire wengine waige Mazuri,i.e elimu,Hakuna dhambj yoyote ku expose kitu ambacho ni positive,kwani kusema tumesoma ni dhambi?
 
Niko palestina machame karibu na machame health center. Wewe utakuwa mu uru masikini Sana wewe ama mmarangu.
Mana matajiri wote ni wa kutokea kwetu machame. Nyie mna matajiri gani masikini Sana wewe unakuja kuwachemsha vyasaka hapa mtandaoni
Unatamani sana uchaga lakini ndo hvyo bahati ishakupita pole Mura
 
Naona unaanza kufanya ya wenzako. Ungesoma hiyo post niliyokuelekeza kusoma na comments zake tangu mwanzo hadi mwisho usingekuja na hiki ulichoandika hapa. Bahati mbaya unaongelea umasikini na nikikuuliza ni umasikini wa namna gani utakosa jibu. Unaongelea pato nikikuuliza ili kujua pato la mkoa au taifa tunaangalia nini utakosa jibu. Mpaka hapa najua wewe ni masikini wa fikra na lipo wazi. Kuepuka kupoteza muda pitia hiyo post ya instanbul na utajua mimi ni wa wapi.

Isitoshe bado unakurupuka na hapo juu nilikwambia kwamba badala ya kushinda humu mnalinganisha sijui huyu maisha yake ni ya chini, huyu nimemzidi nini mngekuwa mnatumia huo muda kuja na michango yenye kuonesha ni kwa namna gani hali hiyo itaondolewa. Usikurupuke kama wenzio, jenga hoja kwamba tunaondoaje nyumba za udongo zilizojaa huko Same na biharamulo badala kuruka ruka. Jenga hoja ni namna gani tutapanda miti ktk wilaya ya same kama wafanyavyo biharamulo badala ya kupiga miluzi tu kwamba "we are well off". Njoo na mada ni namna gani tutaepukana na njaa ktk ukanda wa chini wa wilaya ya rombo kama walivyofanya watu wa karagwe badala ya ujinga ujinga.
Hiki ndicho kilichowafanya wenzako waje na matusi baada ya kuwaambia ukweli kama wewe kwenye hiyo post ya instanbul.
1-Bado nazidi kukushangaa unapobishna na takwimu halali,unasema eti sijui Pato la kagera linatokanana na nini,Mara individual per capital income inatokana na nini,hiyo sio hoja, hoja ni kwamba kagera ni ya 17 kuchangia Pato la Taifa je ni uongo?
KILIMANJARO ni ya 8 kuchangia je ni uongo?
KILIMANJARO 90% Wana maisha bora je ni uongo?
Kagera 40% wanaishi KWENYE umaskini je ni uongo?
2- unasema eti nieleze jinsi tutakavyoondoa umaskini KILIMANJARO (ambao ni 10%tu) lakini wewe mwenye maskini 40% hujanieleza utaondoaje
3-wilaya ya Rombo haijawah kuw na njaa tuna ndizi,parachichi za kutosha hiyo njaa ipo Kijiji gan kata Gani?(eleza hapa)
3-nyumba za udongo same ni chache KULIKO zilizo Bora hivyo zitazid kuboreshwa tu maana kama tume improve 90% hizo 10% hatutashindwa(remind you umaskini unaouzungumzia KILIMANJARO ni 10% tu)
4-UCHAGANI KOTE HAKUNA HATA NYUMBA MOJA YA NYASI(KAMA IPO WEKA PICHA HAPA TUAMBIE NI KIJIJI GANI KATA GANI KUNA ZAWADI YA 100000 HAPA)
 
Naona unaanza kufanya ya wenzako. Ungesoma hiyo post niliyokuelekeza kusoma na comments zake tangu mwanzo hadi mwisho usingekuja na hiki ulichoandika hapa. Bahati mbaya unaongelea umasikini na nikikuuliza ni umasikini wa namna gani utakosa jibu. Unaongelea pato nikikuuliza ili kujua pato la mkoa au taifa tunaangalia nini utakosa jibu. Mpaka hapa najua wewe ni masikini wa fikra na lipo wazi. Kuepuka kupoteza muda pitia hiyo post ya instanbul na utajua mimi ni wa wapi.

Isitoshe bado unakurupuka na hapo juu nilikwambia kwamba badala ya kushinda humu mnalinganisha sijui huyu maisha yake ni ya chini, huyu nimemzidi nini mngekuwa mnatumia huo muda kuja na michango yenye kuonesha ni kwa namna gani hali hiyo itaondolewa. Usikurupuke kama wenzio, jenga hoja kwamba tunaondoaje nyumba za udongo zilizojaa huko Same na biharamulo badala kuruka ruka. Jenga hoja ni namna gani tutapanda miti ktk wilaya ya same kama wafanyavyo biharamulo badala ya kupiga miluzi tu kwamba "we are well off". Njoo na mada ni namna gani tutaepukana na njaa ktk ukanda wa chini wa wilaya ya rombo kama walivyofanya watu wa karagwe badala ya ujinga ujinga.
Hiki ndicho kilichowafanya wenzako waje na matusi baada ya kuwaambia ukweli kama wewe kwenye hiyo post ya instanbul.
1-Bado nazidi kukushangaa unapobishna na takwimu halali,unasema eti sijui Pato la kagera linatokanana na nini,Mara individual per capital income inatokana na nini,hiyo sio hoja, hoja ni kwamba kagera ni ya 17 kuchangia Pato la Taifa je ni uongo?
KILIMANJARO ni ya 8 kuchangia je ni uongo?
KILIMANJARO 90% Wana maisha bora je ni uongo?
Kagera 40% wanaishi KWENYE umaskini je ni uongo?
2- unasema eti nieleze jinsi tutakavyoondoa umaskini KILIMANJARO (ambao ni 10%tu) lakini wewe mwenye maskini 40% hujanieleza utaondoaje
3-wilaya ya Rombo haijawah kuw na njaa tuna ndizi,parachichi za kutosha hiyo njaa ipo Kijiji gan kata Gani?(eleza hapa)
3-nyumba za udongo same ni chache KULIKO zilizo Bora hivyo zitazid kuboreshwa tu maana kama tume improve 90% hizo 10% hatutashindwa(remind you umaskini unaouzungumzia KILIMANJARO ni 10% tu)
4-UCHAGANI KOTE HAKUNA HATA NYUMBA MOJA YA NYASI(KAMA IPO WEKA PICHA HAPA TUAMBIE NI KIJIJI GANI KATA GANI KUNA ZAWADI YA 100000 HAPA)
 
Pamoja na kushika nafasi ya 6 kitaifa kama mkoa, Kilimanjaro katika matokeo ya mtihani wa taifa wa darasa la Saba 2021, umeshindwa kabisa kuingiza hata shule moja kwenye shule kumi bora kitaifa, huku ukiachwa mbali na mikoa ya Mara, Geita, na kagera.

Je ni kitu gani kinakwamisha shule za Kilimanjaro kama mkoa unaosifika kwa kuwa na elimu nzuri kuingia top ten kitaifa.

Je inawezekana ni kweli, shule zipo za kutosha Ila wanafunz wake Wana akili za kawaida.

View attachment 1992709
Inawezekana tatizo lina anzia hapa.
 
Back
Top Bottom