Artificial intelligence
JF-Expert Member
- Jan 28, 2021
- 1,262
- 2,191
Pamoja na kushika nafasi ya 6 kitaifa kama mkoa, Kilimanjaro katika matokeo ya mtihani wa taifa wa darasa la Saba 2021, umeshindwa kabisa kuingiza hata shule moja kwenye shule kumi bora kitaifa, huku ukiachwa mbali na mikoa ya Mara, Geita, na kagera.
Je ni kitu gani kinakwamisha shule za Kilimanjaro kama mkoa unaosifika kwa kuwa na elimu nzuri kuingia top ten kitaifa.
Je inawezekana ni kweli, shule zipo za kutosha Ila wanafunz wake Wana akili za kawaida.
Je ni kitu gani kinakwamisha shule za Kilimanjaro kama mkoa unaosifika kwa kuwa na elimu nzuri kuingia top ten kitaifa.
Je inawezekana ni kweli, shule zipo za kutosha Ila wanafunz wake Wana akili za kawaida.