Achana na hadithi za kusadikika! Sasa sio hivo na haitakuwa hivo tena! Kwa kifupi imekula kwenu inabidi ukubali matokeo! Dunia hii huwa rahisi sana kutangulia ila kumaintain nafasi yako ndo huwa ni changamoto! Nafikiri nishakuaga jioni njema jirani!Pole Sana naona umekalili ideology za JKN kuhusu kagera, watu tumeyeyusha chuma miaka 200 iliyopita huko, nyinyi mkiwa mnafugwa na chale za bwana marundi, kama si serikali yenu hii, sisi tungekuwa kama jiji la Nairobi sahizi.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app