Mkoa wa CHATO wazaa mgogoro wa kiutawala, kikabila na kielimu

Pole Sana naona umekalili ideology za JKN kuhusu kagera, watu tumeyeyusha chuma miaka 200 iliyopita huko, nyinyi mkiwa mnafugwa na chale za bwana marundi, kama si serikali yenu hii, sisi tungekuwa kama jiji la Nairobi sahizi.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Achana na hadithi za kusadikika! Sasa sio hivo na haitakuwa hivo tena! Kwa kifupi imekula kwenu inabidi ukubali matokeo! Dunia hii huwa rahisi sana kutangulia ila kumaintain nafasi yako ndo huwa ni changamoto! Nafikiri nishakuaga jioni njema jirani!
 
Achana na hadithi za kusadikika! Sasa sio hivo na haitakuwa hivo tena! Kwa kifupi imekula kwenu inabidi ukubali matokeo! Dunia hii huwa rahisi sana kutangulia ila kumaintain nafasi yako ndo huwa ni changamoto! Nafikiri nishakuaga jioni njema jirani!
Ni kweli imekula kwetu, Ila ni kwa sababu ya hila zenu mbaya, Ila naona siku zaja mbeleni huko.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Watu kama nyie mnajikuta mnaijua kagera kumbe bogus brain tu inabidi tuwafungue akili mujue hapa tunajadili nini, sio kujitekenya na mambo yenu ya kisukuma hayo.kila la kheri!

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Mkuu nafikiri tukomee hapo! Kagera hiyo nimeizurura sana! Naomba uwe mpole dawa ukuingie vizuri! Hapa ndo tunapopinga kutumia uhaya wenu kupinga kuanzishawa mkoa wa chato! Mngekuwa na hoja zingine zenye mashiko hapo sawa! Na kingine mnataka kuwaaminisha watanzania kuwa Chato wanakaa wahamiaji wa Kirundi hii ni uongo mkubwa sana maana kama Kigoma iko salama licha ya kupakana na Burundi iweje leo useme Chato inakaliwa na wahamiaji wa kirundi wakati wote tunajua chato ina makabila kibao ikiwemo na nyinyi wahaya! Acheni roho mbaya!
 
Mkuu nafikiri tukomee hapo! Kagera hiyo nimeizurura sana! Naomba uwe mpole dawa ukuingie vizuri! Hapa ndo tunapopinga kutumia uhaya wenu kupinga kuanzishawa mkoa wa chato! Mngekuwa na hoja zingine zenye mashiko hapo sawa! Na kingine mnataka kuwaaminisha watanzania kuwa Chato wanakaa wahamiaji wa Kirundi hii ni uongo mkubwa sana maana kama Kigoma iko salama licha ya kupakana na Burundi iweje leo useme Chato inakaliwa na wahamiaji wa kirundi wakati wote tunajua chato ina makabila kibao ikiwemo na nyinyi wahaya! Acheni roho mbaya!
Hacha kujitutumua wewe, kagera umeizurura kufanyaje ndugu nyinyi ndiyo wakimbizi mnaofanya wizi na unyanganyi kagera, kwamba ukisema umeizurura uogopwe au. Kuhusu kujitenga walikuwa wapi miaka yote, kwa nini mumesubiri mlivyopata MADINI, watus na wahatu tangia lini wakawa na utu.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli imekula kwetu, Ila ni kwa sababu ya hila zenu mbaya, Ila naona siku zaja mbeleni huko.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Unajua mtu mjinga akishindwa jambo huwa anasingizia mtu mwingine kama sababu ya yeye kushindwa! Pambaneni na hali zenu! Kama mko hivo miaka hote hakuna muujiza unaweza kuwabadilisha labda Mungu awabadirishie roho muushi vizuri na watu wasio wa asili yenu!
 
Hacha kujitutumua wewe, kagera umeizurura kufanyaje ndugu nyinyi ndiyo wakimbizi mnaofanya wizi na unyanganyi kagera, kwamba ukisema umeizurura uogopwe au. Kuhusu kujitenga walikuwa wapi miaka yote, kwa nini mumesubiri mlivyopata MADINI, watus na wahatu tangia lini wakawa na utu.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Kaka mimi sio mhutu wala mtusi! Naona mmekazana sana juu ya uhutu na utusi wa watu unaodai wako chato sasa unaonaje ukiisaidia serkali kuwabaini hao watu wenye asili ya kihutu na kitusi? Maana hii hoja yako bado imejikita kwenye ubaguzi! Mbona tuna watu wengi humu nchini wenye asili mbalimbali kama kiaarabu,kisomali,kichina n.k kama mtu anaasili ya kitusi au utusi hapa suala la msingi anavigezo kisheria kuwa mtanzania amara?
 
Endelea kujifariji! Mimi naongea logic kuwasaidia wewe unaniletea majungu! Kwani nyinyi hamli chakula? Vyoo mlivyonavyo majumbani mnavitumia kunya keki? Watu lazima wale na tafsiri sahihi ya kilimo ni lazima ujikimu wewe na familia yako na pia ziada uifanya kama stock kipindi bei itakapopanda sokoni uuze! Hao wafanya biashara ya mazao hapo katoro ,kahama na maeneo mengine unaona ni watu masikini? Jipange!
Mkuu wala usitume nguvu sana ni asilimia chache sana ya wasukuma wamefanikiwa, asilimia kubwa wanazurura tu na mifugo na kuharibu ardhi. Kwa mkoa wa Kagera wilaya ya biharamulo ndo maskini namba moja kitaifa (sensa 2012) na huko ndo mmejazana mnaeneza umaskini, hata mkichukua wilaya ya biharamulo na ngara mkoa wa Kagera utapaa kwenye takwimu. Kwa ufupi USUKUMA = UMASKINI
 
Mkuu wala usitume nguvu sana ni asilimia chache sana ya wasukuma wamefanikiwa, asilimia kubwa wanazurura tu na mifugo na kuharibu ardhi. Kwa mkoa wa Kagera wilaya ya biharamulo ndo maskini namba moja kitaifa (sensa 2012) na huko ndo mmejazana mnaeneza umaskini, hata mkichukua wilaya ya biharamulo na ngara mkoa wa Kagera utapaa kwenye takwimu. Kwa ufupi USUKUMA = UMASKINI
Mkuu kwa tanzania hii kuna kabila watu wake wote wanamafanikio? Hakuna jamii iliyofikia hivo dunia hii yote! Lakini ukubali ukatae Wahaya mpo sekta moja tu sekta zingine mnaburuza mkia! Na ninakuomba ufanye utafiti wako vizuri utagundua kuwa Wasukuma ni jamii inayokua sana kwenye nyanja zote! Ila nyinyi mko pale pale mmesinzia! Ila kwa sababu ni wajuaji na mnamisifa hamtaki kishindwa uko radhi ubishane mpaka macho yakutoke!
 
Wasukuma mnakimbia maisha magumu na njaa huko kwenu kila mnakoenda mnaeneza umaskini maana USUKUMA = UMASKINI
Hahaha endelea kujifariji ujinga! Mtu anafanya kilimo anapata gunia sio chini ya 200 bado unamwita masikini kisa Msukuma! Maana mlishalishwa sumu kuwa wasukuma ni masikini! Endelea kujidanganya!
 
Mkuu kwa tanzania hii kuna kabila watu wake wote wanamafanikio? Hakuna jamii iliyofikia hivo dunia hii yote! Lakini ukubali ukatae Wahaya mpo sekta moja tu sekta zingine mnaburuza mkia! Na ninakuomba ufanye utafiti wako vizuri utagundua kuwa Wasukuma ni jamii inayokua sana kwenye nyanja zote! Ila nyinyi mko pale pale mmesinzia! Ila kwa sababu ni wajuaji na mnamisifa hamtaki kishindwa uko radhi ubishane mpaka macho yakutoke!
Nimekwambia asilimia kubwa ya wasukuma ni maskini, tazama Mwanza lids ya kuwa jiji lakini wilaya zake pembeni za wasukuma ni maskini ndo maana na Mwanza inaonekana maskini the same kwa Shinyanga ina manispaa 2 lakini hoi, Tabora na simiyu hivo hivo
 
Hawawezi kuupata huo mkoa intelligence yetu ni imara sana, yaani mkoa uwe wa wakimbizi tu, waje watake kujitawala au kurudi Burundi na Rwanda yawe yale yale ya Tigray na vile wamepata madini, inakuwa rahisi kupandikizwa hao.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Kikwete amsaidie huyo mama SSH,hao wapuuzi hata chanjo za awali hawana kwani kwao hawakuwa na compulsory ya chanjo ni East African ya Kenya,Uganda,na Tanzania.
Hawa watu siyo wa kuchekea .
 
Mkuu wala usitume nguvu sana ni asilimia chache sana ya wasukuma wamefanikiwa, asilimia kubwa wanazurura tu na mifugo na kuharibu ardhi. Kwa mkoa wa Kagera wilaya ya biharamulo ndo maskini namba moja kitaifa (sensa 2012) na huko ndo mmejazana mnaeneza umaskini, hata mkichukua wilaya ya biharamulo na ngara mkoa wa Kagera utapaa kwenye takwimu. Kwa ufupi USUKUMA = UMASKINI
Kagera mna nini Cha maana.Kabanga hiyoooo inaenda chatuuuu
 
Back
Top Bottom