Hahahaa unajua nyinyi jirani zangu mna taabu sana! Ila hakuna tatizo maana hamna threat yeyote kwa ukanda wa ziwa na nchi kwa ujumla!Kikwete amsaidie huyo mama SSH,hao wapuuzi hata chanjo za awali hawana kwani kwao hawakuwa na compulsory ya chanjo ni East African ya Kenya,Uganda,na Tanzania.
Hawa watu siyo wa kuchekea .