papag JF-Expert Member Joined Jul 31, 2009 Posts 1,246 Reaction score 1,883 Aug 4, 2025 #1 JEE KUNA UMEME?
Saguda47 JF-Expert Member Joined May 1, 2016 Posts 11,767 Reaction score 22,041 Aug 4, 2025 #2 Ndiyo Mbeya nakula Raha ya CHAN tu home
rkidilu JF-Expert Member Joined Mar 10, 2019 Posts 381 Reaction score 339 Aug 4, 2025 #4 Arusha umekatika muda sio mrefu kama dk 10 zilizopita
Greatest Of All Time JF-Expert Member Joined Jan 1, 2017 Posts 26,530 Reaction score 61,938 Aug 4, 2025 #5 Huku Nakonde hamna umeme
Village fooler JF-Expert Member Joined Mar 16, 2020 Posts 722 Reaction score 1,461 Aug 4, 2025 #7 Huku Butiama Mara hakuna umeme
maiko sultan JF-Expert Member Joined Jan 28, 2024 Posts 908 Reaction score 2,062 Aug 4, 2025 #8 Kuna watu wanatuchezea Sana mitandao wafunge na umeme wazime zaidi ya masaa 5.
R r2ga JF-Expert Member Joined Apr 5, 2012 Posts 2,653 Reaction score 2,758 Aug 4, 2025 #9 Shida itakua ni nini? Hata huku hakuna.
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 348,673 Reaction score 1,251,106 Aug 4, 2025 #10 Haupo
R Risen man JF-Expert Member Joined Aug 8, 2015 Posts 19,976 Reaction score 53,985 Aug 4, 2025 #11 Arusha wamekata kweli baada ya kuchezeachezea switch
Joanah JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 26,191 Reaction score 96,330 Aug 4, 2025 #12 papag said: JEE KUNA UMEME? Click to expand... Hamna umeme
Aiylan wasalan JF-Expert Member Joined Sep 9, 2024 Posts 1,383 Reaction score 3,275 Aug 4, 2025 #13 Huku mwza hakuna kabisaaa almost 45 minutes
Mangwea1900 JF-Expert Member Joined May 29, 2025 Posts 2,484 Reaction score 3,261 Aug 4, 2025 #14 Huku Burundi upo
Moisemusajiografii JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 53,522 Reaction score 98,844 Aug 4, 2025 #15 Mimi nimefumba macho.Mnisubiri nianze kukapua macho/miho?Sijui lolote.
Chapati Tatu JF-Expert Member Joined Apr 23, 2024 Posts 410 Reaction score 866 Aug 4, 2025 #16 Kigali huku pia hakuna
Ushimen Platinum Member Joined Oct 24, 2012 Posts 43,995 Reaction score 110,391 Aug 4, 2025 #17 Hakuna umeme
papag JF-Expert Member Joined Jul 31, 2009 Posts 1,246 Reaction score 1,883 Aug 4, 2025 Thread starter #18 r2ga said: Shida itakua ni nini? Hata huku hakuna. Click to expand... Matokeo yao nadhani. Yatangazwe kwa tochi watu wabadili gia.
r2ga said: Shida itakua ni nini? Hata huku hakuna. Click to expand... Matokeo yao nadhani. Yatangazwe kwa tochi watu wabadili gia.
DUBULIHASA JF-Expert Member Joined Nov 26, 2016 Posts 5,946 Reaction score 11,374 Aug 4, 2025 #19 Chuga hakuna
leo dada JF-Expert Member Joined Oct 26, 2023 Posts 2,848 Reaction score 14,412 Aug 4, 2025 #20 Gridi ya taifa yote hakuna