papag JF-Expert Member Joined Jul 31, 2009 Posts 1,295 Reaction score 1,950 Aug 4, 2025 #1 JEE KUNA UMEME?
Saguda47 JF-Expert Member Joined May 1, 2016 Posts 11,771 Reaction score 22,067 Aug 4, 2025 #2 Ndiyo Mbeya nakula Raha ya CHAN tu home
rkidilu JF-Expert Member Joined Mar 10, 2019 Posts 381 Reaction score 339 Aug 4, 2025 #4 Arusha umekatika muda sio mrefu kama dk 10 zilizopita
Greatest Of All Time JF-Expert Member Joined Jan 1, 2017 Posts 26,535 Reaction score 61,968 Aug 4, 2025 #5 Huku Nakonde hamna umeme
Village fooler JF-Expert Member Joined Mar 16, 2020 Posts 722 Reaction score 1,463 Aug 4, 2025 #7 Huku Butiama Mara hakuna umeme
maiko sultan JF-Expert Member Joined Jan 28, 2024 Posts 913 Reaction score 2,077 Aug 4, 2025 #8 Kuna watu wanatuchezea Sana mitandao wafunge na umeme wazime zaidi ya masaa 5.
R r2ga JF-Expert Member Joined Apr 5, 2012 Posts 2,704 Reaction score 2,847 Aug 4, 2025 #9 Shida itakua ni nini? Hata huku hakuna.
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 348,873 Reaction score 1,251,843 Aug 4, 2025 #10 Haupo
R Risen man JF-Expert Member Joined Aug 8, 2015 Posts 20,053 Reaction score 54,251 Aug 4, 2025 #11 Arusha wamekata kweli baada ya kuchezeachezea switch
J Joanah JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 26,413 Reaction score 97,283 Aug 4, 2025 #12 papag said: JEE KUNA UMEME? Click to expand... Hamna umeme
Aiylan wasalan JF-Expert Member Joined Sep 9, 2024 Posts 1,383 Reaction score 3,276 Aug 4, 2025 #13 Huku mwza hakuna kabisaaa almost 45 minutes
Mangwea1900 JF-Expert Member Joined May 29, 2025 Posts 2,484 Reaction score 3,271 Aug 4, 2025 #14 Huku Burundi upo
Moisemusajiografii JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 54,333 Reaction score 101,429 Aug 4, 2025 #15 Mimi nimefumba macho.Mnisubiri nianze kukapua macho/miho?Sijui lolote.
Chapati Tatu JF-Expert Member Joined Apr 23, 2024 Posts 410 Reaction score 866 Aug 4, 2025 #16 Kigali huku pia hakuna
Ushimen Platinum Member Joined Oct 24, 2012 Posts 44,298 Reaction score 111,437 Aug 4, 2025 #17 Hakuna umeme
papag JF-Expert Member Joined Jul 31, 2009 Posts 1,295 Reaction score 1,950 Aug 4, 2025 Thread starter #18 r2ga said: Shida itakua ni nini? Hata huku hakuna. Click to expand... Matokeo yao nadhani. Yatangazwe kwa tochi watu wabadili gia.
r2ga said: Shida itakua ni nini? Hata huku hakuna. Click to expand... Matokeo yao nadhani. Yatangazwe kwa tochi watu wabadili gia.
DUBULIHASA JF-Expert Member Joined Nov 26, 2016 Posts 5,966 Reaction score 11,457 Aug 4, 2025 #19 Chuga hakuna
leo dada JF-Expert Member Joined Oct 26, 2023 Posts 3,043 Reaction score 15,453 Aug 4, 2025 #20 Gridi ya taifa yote hakuna