Mkoa gani unaongoza kwa mbu Tanzania?

Mkoa gani unaongoza kwa mbu Tanzania?

MkuuXyz

Senior Member
Joined
Jun 18, 2025
Posts
161
Reaction score
269
Wadau, tunaomba kujua ni Mikoa ipi Inaongoza Kwa Mbu wengi TANZANIA. Mtu wangu wa Karibu AMECHOKA na MBU WA DAR, anataka Kuhama, sasa ili asije ruka Mkojo akakanyaga mavi, hebu changia Mikoa Mitatu hadi Mitano ili aiepuke.

Asanteni wadau.
 
Wadau, tunaomba kujua ni Mikoa ipi Inaongoza Kwa Mbu wengi TANZANIA. Mtu wangu wa Karibu AMECHOKA na MBU WA DAR, anataka Kuhama, sasa ili asije ruka Mkojo akakanyaga mavi, hebu changia Mikoa Mitatu hadi Mitano ili aiepuke.

Asanteni wadau.
Njombe mbu walipiga hesabu wakasema wahame wasije kufa na baridi wakahamia mafinga mbu kufika mafinga wakasema mbona balaaa lile lile wakasema wakajaribu kuishi mbeya nako baridi kali ,,,,,baridi kali linaua mbu pamoja na mayai ya mbu

Kikao kikuu kikafanyika cha mbu wa nyanda za juu kusini ... rais wa mbu akasema mikoa hiyo ni marufuku kwa mbu yeyote kukaa awe anofelex au mbu wa kawaida na jeshi la polisi la mbu litawachukulia hatua mbu yeyote atae kiuka agizo hilo na raisi akasema mbu wote wahamie dar es salaam maana damu za dar ni tamu za moto zimejaa chips mayai tu na alkasusu

Kuanzia hapo mikoa nyanda za juu kusini hiyo haina mbu bahati mbaya ukimkuta mbu nae anatetemeka baridi kachoka balaaa amekosa tu nauli ya kuja dar ila huko mbu sio kwako
file_00000000bab061f5999f6138efb0133a.png
 
Back
Top Bottom