Wanaingia mpaka kweny puaTANGA,MWISHO WA MATATIZO,SIJAPATA KUONA.
Arusha hakuna mbu kihivyo na unaweza usiwaone . Hata ugonjwa wa malaria haupo sana, na mara nyingi ukiupata inakuwa ulitoka safari mkoa nwingibe umeupatia hukoMikoa yenye baridi yote unayoijua
Uko sahihi kabisa nlimwambia hivyo nikiwa na experience hiyoArusha hakuna mbu kihivyo na unaweza usiwaone . Hata ugonjwa wa malaria haupo sana, na mara nyingi ukiupata inakuwa ulitoka safari mkoa nwingibe umeupatia huko
Njombe mbu walipiga hesabu wakasema wahame wasije kufa na baridi wakahamia mafinga mbu kufika mafinga wakasema mbona balaaa lile lile wakasema wakajaribu kuishi mbeya nako baridi kali ,,,,,baridi kali linaua mbu pamoja na mayai ya mbuWadau, tunaomba kujua ni Mikoa ipi Inaongoza Kwa Mbu wengi TANZANIA. Mtu wangu wa Karibu AMECHOKA na MBU WA DAR, anataka Kuhama, sasa ili asije ruka Mkojo akakanyaga mavi, hebu changia Mikoa Mitatu hadi Mitano ili aiepuke.
Asanteni wadau.
Mhh mikoa yenye baridi mbu hakai...Mikoa yenye baridi yote unayoijua
Nmekaa iringa hakuna nyumba yenye neti niliyoionaMikoa yenye baridi yote unayoijua
Rombo tuu hapo net huwa hazipo...labda Moshi mjiniNmekaa iringa hakuna nyumba yenye neti niliyoiona
Arusha mbu wapo , moshi ni maeneo ya mlimani tu ndio hakuna hawa mbu wa malaria ila kuna wale weusi wenye madoa doa ambao hawaambuki malariaDuh- Mbona Arusha/Moshi Kuna Baridi na Hakuna Mbu wengi kama Dar na Dar Kuna Joto ?